Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Watu watachinjana hapoTop four msimu huu ya moto sana
NakaziaMjini koneksheni
Na akitolewa uwaziri tu timu inakufaHii timu sijui imepata wapi hela za kusajili Wabrazil wote wale! Bado benchi la ufundi!
Yaani ukilinganisha na kuongezeka kwa hizi tozo, kupanda kwa bei ya mafuta na ruzuku yake ya bilioni 100 kila mwezi!
Unaamua tu kujinyamazia.
bila ya nguvu za waziri awana kitu.Na akitolewa uwaziri tu timu inakufa
Wadhamini wote hawa halafu timu ishuke daraja nitashangaa sanaNi timu iliyopanda daraja lakini tayari ina wadhamini wa kutosha. Wapo Sportpesa, TBL, Maji ya Uhai, Simba Cement pamoja na GSM.
Niwape heko Singida Big Stars, hakika mnaupiga mwingi sanaView attachment 2314092
Inafikirisha sana kama Singida United ilikuwa na wadhamini mpaka kwenye makalio kama Makoloz lakini baada ya muda timu ikawa na Kukata wa ajabu sio wadhamini tu mpk wachezaji muhimu wakasepa na timu ikajifiaNa akitolewa uwaziri tu timu inakufa
Hii timu sijui imepata wapi hela za kusajili Wabrazil wote wale! Bado benchi la ufundi!
Yaani ukilinganisha na kuongezeka kwa hizi tozo, kupanda kwa bei ya mafuta na ruzuku yake ya bilioni 100 kila mwezi!
Unaamua tu kujinyamazia.
Inafikirisha sana kama Singida United ilikuwa na wadhamini mpaka matakoni kama Makoloz lakini baada ya muda timu ikawa na Kukata wa ajabu sio wadhamini tu mpk wachezaji muhimu wakasepa na timu ikajifia
Timu ya mkubwa hii lazima wadhamini wawepo wa kutosha, naona hadi airtel na TBl wamo.Ni timu iliyopanda daraja lakini tayari ina wadhamini wa kutosha. Wapo Sportpesa, TBL, Maji ya Uhai, Simba Cement pamoja na GSM.
Niwape heko Singida Big Stars, hakika mnaupiga mwingi sanaView attachment 2314092