Hawa ndio waliochanganya udongo siku ya.muungano 1964 nao ni Bi. Khadija Abasi Rashid, Bw. Elisaeli Mrema, Bw. Hassan Omari Mzee na Bi. Sifael Mushi

Hawa ndio waliochanganya udongo siku ya.muungano 1964 nao ni Bi. Khadija Abasi Rashid, Bw. Elisaeli Mrema, Bw. Hassan Omari Mzee na Bi. Sifael Mushi

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001

Hawa ndio waliochanganya udongo siku ya.muungano 1964 nao ni Bi. Khadija Abasi Rashid, Bw. Elisaeli Mrema, Bw. Hassan Omari Mzee na Bi. Sifael Mushi au mama Shuma kwa jina lingine​

 
Hao walibeba mchanga/udongo, aliyechanganya ni Mwalimu Nyerere!
 

Hawa ndio waliochanganya udongo siku ya.muungano 1964 nao ni Bi. Khadija Abasi Rashid, Bw. Elisaeli Mrema, Bw. Hassan Omari Mzee na Bi. Sifael Mushi au mama Shuma kwa jina lingine​

Wacha uwongo, mbona hatuwaoni?
 

Hawa ndio waliochanganya udongo siku ya.muungano 1964 nao ni Bi. Khadija Abasi Rashid, Bw. Elisaeli Mrema, Bw. Hassan Omari Mzee na Bi. Sifael Mushi au mama Shuma kwa jina lingine​

Kapicha mkuu sisi kina Thomaso tujiridhishe na kukuamini!
 
Back
Top Bottom