Hawa ndio Wanawake -Toleo la 01

Kuna watu wanatafutaga ulemavu kwa kipigo, mmojawapo ni huyo aliyekua mke wako
 
Zote hizo ni sifa zetu wanawake!?
 
πŸ˜‚jaman nimecheka na kusikitika
 
Mwanamke ni mtu ambaye yuko tayari kunyeshewa na mvua sehemu zote za mwili kasoro kwenye nywele tu

[emoji1787][emoji1787]sasa si zinanuka zikinyeshewa bila ivo ufumue ukaoshe upya ambayo nayo ni kuharibu bajeti
 
Kula gwala kwenye namba 55,faizafox na wanawake wezako humu someni sana hapo mpaelewe ....baada ya hapo pigeni mje nbox ,haiwezekani wanawake wakiganda wanufaike na Mimi nyie mtaabike
 
Nawakumbusha tu wao wenyewe hawajui nini wanataka ndio maana maandiko yanasema tuishi nao kwa akili na sio tuwapende. Hutakiwa kumpenda mwanamke wewe ishi nae kwa akili tu kama mungu mwenyewe kasema hivyo haya ww jitie kichwa kigumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…