Unajitekenya alafu unacheka mwenyewe.Povu linavokutoka sasa hahahhaaaa mm nacheka tu
Mkuu mimi nakuomba uisome vizuri hiyo habari,maana naona wengi hawajaisoma ila wamekimbilia kukomenti tu. NDANI YA HIYO HABARI INAWATAJA WASANII WATANO (5) WALIOINGIZA PESA NYINGI KWA MWAKA HUU 2016,SIO KWAMBA HAO NDIO MATAJIRI KWASASA,LAKINI PIA WAPO WALIOMATAJIRI NA MWAKA HUU WAKAINGIZA PESA NDEFU PIA.Tufanye sawa, unaamini kabisa Diamond yuko juu ya Youssou N, Salif K & Koffi?
Forbes yao ni hii
Akon
Don jazzy
Psquare
Dbanj
Wizkid
Anselmo R
Sarkodie
Ice P
Bank W
Pia ifahamike kuwa kutotoa nyimbo haina maana msaani kayumba kiuchumi. Swala anamiliki nini na anajishughulisha na nini.
Hebu kaisometena hii habari,imeandikwa kuwa hao ni WASANII WATANO WA AFRICA WALIOINGIZA PESA NYINGI MWAKA HUU WA 2016,SIO KWAMBA HAO NDIO MATAJIRI KULIKO WASANII WOTE WA AFRICA,JAPO WAPO WALIOMATAJIRI NA WAKAENDELEA KUPIGA PESA,KWA MAANA HIYO HATA DARASA KAMA ANGEKUWA AMETENGENEZA PESA NYINGI MWAKA HUU,BASI NAE ANGEKUWEPO KWENYE HII LISTI.Unajitekenya alafu unacheka mwenyewe.
Msukule wa Madale ahaaa ahaaaa
Umetumia kigezo gani kuamini kuwa hiyo yako ni y kweli alafu iliyo kwny bandiko ni ya uongo
nimesoma uzi upya, baada ya mdau mmoja kuweka sawa. Kuwa ni kuhusu wasanii waliongiza cash zaidi kwa mwaka huu. Hilo sina tatizo nalo, ile ingekuwa ni orodha ya wasanii matajiri Afrika ingekuwa na utata kidogo.Umetumia kigezo gani kuamini kuwa hiyo yako ni y kweli alafu iliyo kwny bandiko ni ya uongo
Duuuuuhh!! Mkuu kama hicho ndicho anachomaanisha basi ndio amekose kabisaaaaaa kwa 100%..Ina maana wote HAMKIONI NINACHOKIONA MIMI KWENYE HII MADA AU MIMI NDIO NIMESHAANZA KUZEEKA ......Mleta mada yuko SAHIHI, KWASABABU UKISOMA NDANI KIUSAHIHI UTAONA IMEANDIKWA KWA WASANII WALIOINGIZA PESA NYINGI KWA MWAKA HUU 2016,AMBAPO HATA MAN FONGO KAMA ANGEINGIZA PESA NYINGI MWAKA HUU ANGEKUWA KWENYE LISTI. Kwahiyo hiyo listi HAIHUSU WASANII MATAJIRI KWA AFRICA,ILA INAZUNGUMZIA WALIOTENGENEZA PESA NYINGI KWA MWAKA HUU KULIKO WENGINE,JAPO WAPO WALIO MATAJIRI NAO WALIENDELEA KUTENGENEZA PESA NYINGI MWAKA HUU.
Hebu waombe MODS wakubadilishie CAPTION,kisomeke kuwa HAWA NDIO WASANII WATANO WALIOINGIZA PESA NDEFU MWAKA 2016.Mara nyingi tumezoea kuona list za wasanii wakubwa wakitajwa kuingiza pesa nyingi zaidi Afrika, wiki hii imetoka list iliyoandikwa naeDaily kupitia ripota Brian Okoth ambayo imewataja wasanii watano kutoka Afrika wanaotajwa kuingiza pesa nyingi zaidi mwaka 2016.
5. Diamond Platnumz (Tsh. Bilioni 9,665,923,190.55)
Mtanzania Diamond Platnumz huenda akawa msanii anayezungumzwa au kutajwa sana kwasasa barani Afrika kutokana na headlines anazotengeneza kila siku, mikataba yake na makampuni makubwa kwenye kazi zake pia inazidi kumuweka sehemu nzuri kifedha.
Hakuna shaka kwamba Diamond ni mmoja kati ya wasanii wanaoingiza pesa nyingi kupitia muziki wao kwasasa, na hili litaondoa utata kuhusu kiasi cha pesa alichotajwa kuwanacho staa huyu wa single ya Make Me Sing ambaye aliwahi kuzungumza na E!TV Jumapili ya, June 26 mwaka huu na ikaelezwa kuwa anamiliki pesa zinazozidi kiasi cha dola Milioni Nne za Marekani (Zaidi ya Bilioni 9 za Tanzania).
Kiasi hicho cha pesa hakijaja tu kama suprise kwa Diamond, ambaye anatajwa kuwa ndiye msanii anayelipwa pesa nyingi zaidi kwenye show au event yotote anayotakiwa kuhudhuria nchini Tanzania na pengine Afrika Mashariki kwasasa.
Pesa nyingi zinaelezwa kuingia kupitia shows alizofanya ndani ya Tanzania, East Africa na nje ya Afrika. Diamond Platnumz pia amekuwa balozi wa makampuni mengi makubwa ya biashara ikiwemo Vodacom, Cocacola, DSTV, Uber Taxi na Red Gold.
Ziko taarifa kuwa Diamond Platnumz huchaji si chini ya shilingi milioni 25 kwa show moja ya kawaida akiwa Tanzania, pia gharama hizo hufikia shilingi milioni 50 na kuendelea akiitwa na kampuni ya biashara na kama akiitwa nje ya Tanzania basi gharama zake huanzia shilingi milioni 200 na kuendelea.
Vyanzo vingine vya mapato ni pamoja na mauzo ya miito ya simu ambayo inaelezwa hakuna msanii yeyote Afrika Mashariki anayefikia mauzo yake kwenye ukanda wa maziwa makuu, pia anamiliki akaunti ya Youtube ambayo ipo kwenye list ya chaneli 10 zinazoangaliwa zaidi barani Afrika.
Hivi karibuni Diamond Platnumz ameingia kwenye biashara za kununua nyumba za zamani na kuzifanyia ukarabati ambapo huzipangisha, kitu kinachotajwa kumuingiza mkwanja mrefu zaidi jijini Dar es salaam, mbali na kumiliki record lebel yake ya Wasafi Classic Baby (WCB) ambayo kwa mujibu wake Diamond aliwahi kusema wamesaini deal ya zaidi shilingi Bilioni 2 na lebel ya Universal Music Group ya Marekani ili kusambaza kazi za wasanii walioko chini yake ambao ni Rich Mavoko, Harmonize na Rayvany.
4. Wizkid (Tsh. Bilioni 25,676,809,453.47)
Kwa mujibu wa Infoguide Nigeria, mpaka kufikia December 2015 mwimbaji star Wizkidalikuwa anakadiriwa kumiliki kiasi cha dola Milioni 11.5 ambazo mpaka mwisho wa mwaka 2016 inaelezwa kuwa amefikisha dola Milioni 12.
Wizkid amekuwa na mikataba inayomuingizia pesa nyingi na makampuni kutoka Nigeria ikiwemo label yake ya Star boy Recordsaliyoianzisha mwaka 2010. Pia mwaka 2014 Wizzy alisaini deal ya kuwa balozi wa kampuni ya simu ya MTN ambao walimlipa zaidi ya shilingi milioni 300 na kampuni ya MTN rival Globacom ikapanda mara mbili ili kumtumia Wizkid kama balozi wao.
Deal hiyo ya miaka miwili inatajwa kumuingiza Wizkid zaidi ya shilingi milioni 900 kutoka kampuni ya Globacom na mwaka 2015 wakati akifanya sherehe ya kutimiza miaka 25 Wizkid alisaini upya mkataba wake na kampuni ya vinywaji baridi ya Pepsi.
Ukijumlisha kiwango cha pesa anachoingiza kutoa kwenye shows anazofanya, mauzo ya nyimbo zake, tuzo, zawadi pamoja na mikataba yake, inamuweka star huyo kwenye list wasanii wanaoingiza pesa nyingi zaidi nchini Nigeria. Zipo taarifa kuwa ili kuweza kumualika Wizkid aje kufanya show ya kampuni itakubidi umlipe si chini ya shilingi milioni 60.
Kumbuka pia mwezi August, 2015, WizKid alitajwa kwenye jarida la Forbes kama miongoni mwa mastaa 14 wanaoitangaza Afrika.
3. Davido (Tsh. Bilioni 30,502,418,406.03)
Kwa mujibu wa Nigerian Finder wameeleza kuwa Davido anamiliki utajiri unaofikia dola milioni 14 ambazo ni zaidi ya shilingi Bilioni 30 za Kitanzania.
Pamoja na kuzaliwa kwenye familia yenye uwezo mkubwa kifedha, hiyo haikumfanya Davido kurelax badala yake alitumia nafasi yake kama msanii kujenga jina lake na kufanya biashara inayomfanya kuingiza pesa nyingi kwenye akaunti zake.
Mwaka 2012, Davido alisaini deal na kampuni ya MTN TV kama balozi na akasaini deal nyingine na MTN Pulse kuwa muwakilishi wa kampuni hizo kwa kitita cha zaidi ya shilingi milioni 207 za Kitanzania, wakati huo huo mwaka 2014, Davido alilipwa zaidi ya shilingi milioni 341 kuwa balozi wa kampuni ya dawa za meno ya Close UP.
Pia Davido na kaka yake Adewale Adeleke wanamikili lebel ya muziki iitwayo HKN Music ambayo imekuwa ikiwaingiza pesa nyingi kupitia mauzo ya nyimbo za wasanii waliosaini lebel, mauzo ya albam pamoja mikataba ya matangazo.
2. Akothee (Tsh. Bilioni 132,683,540,000.00)
Huenda ikakushtua sana kutokana na jina la msanii huyu kutokua kubwa sana au kutofahamika sana kwa watu wengi, Mwimbaji Akothee kutoka Kenya anatajwa kuwa na utajiri unaofikia dola za Marekani milioni 61 ambazo ni zaidi ya shilingi za Tanzania Bilioni 132.
Mapema mwaka huu, mitandao ya habari za mastaa nchini Kenya iliripoti kuwa star huyo wa single ya Give It To Me alikuwa anamiliki zaidi ya shilingi za Tanzania Bilioni 8.
Akothee amekuwa akijishughulisha na biashara pamoja na kilimo huku chanzo kingine cha mapato kikitajwa kuwa ni fidia aliyolipwa kama talaka na mwanaume wa kizungu aliyeachana naye miaka kadhaa iliyopita.
1. P-Square (Tsh. Bilioni 277,752,822,639.34)
Wakiwa ni mastaa pekee kutoka Afrika kutajwa na jarida la Forbes mara mbili kwenye list ya wasanii wanaolipwa pesa nyingi zaidi Afrika, kundi la PSquare limeendelea kuweka rekodi ya kufanya shows za gharama kubwa kupita wasanii wote Afrika, huku wakipata mialiko kutoka kwa Marais wa nchi zaidi ya 5 na usisahau, mastaa hawa wanamiliki ndege binafsi.
Kwa mujibu wa jarida la watu maarufu la Forbes, mapacha hao Peter na Paul Okoye wanaounda kundia la P-Square wanamiliki utajiri wa zaidi ya dola za Marekani milioni 130 zinazotokana na mikataba ya kibiashara na makampuni mbambali, biashara za mafuta, mauzo ya muziki na shows wanazofanya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli pata pesa tujue tabia yako. Yan diamond anaingia mara 30 kwa pesa ya psquare. !!!!!!!!! Ila kwa mbwebwe anawazidi mara 100
[emoji23]Tena iyo billn 9, 50% ni ya zari
nimesoma uzi upya, baada ya mdau mmoja kuweka sawa. Kuwa ni kuhusu wasanii waliongiza cash zaidi kwa mwaka huu. Hilo sina tatizo nalo, ile ingekuwa ni orodha ya wasanii matajiri Afrika ingekuwa na utata kidogo.
Shukrani kwa changamoto...
Duuuuuhh!! Mkuu kama hicho ndicho anachomaanisha basi ndio amekose kabisaaaaaa kwa 100%..
Yani psquare wameingiza Bilioni 230 mwaka huu????? Yani mwaka huu pekee wameingiza bilioni 230 [emoji23] [emoji23] C'mon man you cant be serious... Hata Beyonce, Jay Z, Drake, Nick, hawajaingiza kiasi hicho cha hela mwaka huu..
Akothee ameingiza bilioni 132 mwaka huu?? Hapana hapana hapana..
Diamond nina uhakika na nafahamu ninavmchoongea, hajaingiza bilioni 9 mwaka huu.. Ila net worth yake (kama utajumlisha na majumba yake) inakaribia hapo..
Ni bora tu mwandishi aseme hizo alizoandika ni net worth ila akisema ati ni income kwa mwaka huu 2016, duuuhh huo ni ulongo wa kindergarten!!
Mkuu mbona mimi nakuamini sana kwenye kudadavua mambo kwa weledi, HAWA JAMAA WA HUU MTANDAO WALICHOKIFANYA NI KUWEKA LISTI TU,KWA MWAKA HUU HUYU NDIO WA KWANZA,2,3,4 NA 5, LAKINI HAWAJAFAFANUA KAMA MWAKA HUU AMEINGIZA/WAMEINGIZA SH'NGAPI( utaliona hilo kama utaisoma kwa kuelewa). Kwahiyo kama ni hoja ianzie hapo kuwa kwanini hawakuweka kiwango, au kama hii listi ni sahihi au si sahihi.Duuuuuhh!! Mkuu kama hicho ndicho anachomaanisha basi ndio amekose kabisaaaaaa kwa 100%..
Yani psquare wameingiza dola mln 100 mwaka huu????? Hata Beyonce, Jay Z, Drake, Nick, hawajaingiza kiasi hicho cha hela mwaka huu..
Akothee ameingiza bilioni 132 mwaka huu?? Hapana hapana hapana..
Diamond nina uhakika na nafahamu ninavmchoongea, hajaingiza bilioni 9 mwaka huu.. Ila net worth yake (kama utajumlisha na majumba yake) inakaribia hapo..
Ni bora tu mwandishi aseme hizo alizoandika ni net worth ila akisema ati ni income kwa mwaka huu 2016, duuuhh huo ni ulongo wa kindergarten!!
Hapo nimekuekewa Mkuu..Mkuu mbona mimi nakuamini sana kwenye kudadavua mambo kwa weledi, HAWA JAMAA WA HUU MTANDAO WALICHOKIFANYA NI KUWEKA LISTI TU,KWA MWAKA HUU HUYU NDIO WA KWANZA,2,3,4 NA 5, LAKINI HAWAJAFAFANUA KAMA MWAKA HUU AMEINGIZA/WAMEINGIZA SH'NGAPI( utaliona hilo kama utaisoma kwa kuelewa). Kwahiyo kama ni hoja ianzie hapo kuwa kwanini hawakuweka kiwango, au kama hii listi ni sahihi au si sahihi.
Nimekupata vyema mkuu... Yule komando aliyegongwa nyundo ya 5kg kichwani alinipoteza maboya ππMkuu mimi nakuomba uisome vizuri hiyo habari,maana naona wengi hawajaisoma ila wamekimbilia kukomenti tu. NDANI YA HIYO HABARI INAWATAJA WASANII WATANO (5) WALIOINGIZA PESA NYINGI KWA MWAKA HUU 2016,SIO KWAMBA HAO NDIO MATAJIRI KWASASA,LAKINI PIA WAPO WALIOMATAJIRI NA MWAKA HUU WAKAINGIZA PESA NDEFU PIA.
Mimi niliikuta kwa millardayo.com jinsi watu yalivyokuwa yanawatoka mapovu,nikaichunguza nikagundua habari yenyewe haikukaa vizuri kuanzia KICHWA CHA HABARI HADI MLOLONGO WA NDANI NA VILE NDIO HAWAKUWEKA KIWANGO NDIO KABISA. Na nimejaribu kuangalia hiyo website yao sijaiona hii habari au sijui nimekosea kusachi sijajua.Hapo nimekuekewa Mkuu..
Tukiondoa hizo figures ambazo zimekosewa, tukazungumzia tu wasanini walioingiza mkwanja mrefu mwaka huu.. Hapo nakubaliana naye kwa 85%..
Tena Chibu anaingia kwenye Top 3, sio namba 5.. (Tukiongela wasanii waliovuta mpunga mrefu kwa mwaka huu pekee)
Ingawa hizo figure inabidi azirekebishe kama anaongelea mwaka huu pekee..
Unajiona ulivo boya ushabiki umekujaa adi mku...... iv unajua thamani ya kituo cha clouds FM au unaropokwa tuMtoa mada nina wasiwasi na upeo wako kuhusu mambo ya fedha,inawezekana bilioni hauijui inafana na nini,ngoja nikuelimishe,Bilioni moja ni sawa na milioni elfu 1.
Sasa unavyotulisha chaka kwamba Diamond ana utajiri wa Bilioni 9 labda ni Za Zimbabwe.NITAKUWA WA MWISHO KUAMINI KWAMBA DIAMOND ANA UTAJIRI WA BILIONI 9,Hata Ukijumlisha utajiri wao wote wasafi including Zari, Babu Tale,Sallam,Mkubwa Fela,Ruge haufiki bilioni 9.