hawa ndio wasanii wetu

Kwani yanakuhusu? Yafuate ya kwako
 
Wamependezana tu.. Haina tatizo! Ila sio kwamba they were acting hapo?
 
Hapa walikua wa ki act jamani...... Wasipoact kwa kuonyesha uhalisia aaah sanaa ya bongo bado acheni hizo hapo kamshika tu je kule ulaya wanakokulana denda
 
Mbona ezekiel Mweusi sana huko uvunguni.
Inaonekana wewe ni maarufu kwa KUZIMA TAA...........................Wa hivi hua ni weusi kuanzia UVUNGUNI hadi Mjengoni..............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…