Hawa ndio wasomaji makala wenye sauti ya mvuto Tanzania

Hawa ndio wasomaji makala wenye sauti ya mvuto Tanzania

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Nimefuatilia sana kwenye radio na mitandaoni pia nimegundua kuna watu wako vizuri sana kwenye usomaji wa makala. Top 3 yangu hii

3. Spesho Kabwanga (kituo chake youtube) anasomaga pia kwenye sports extra.

2. Ananias Edgar Makaza zake nyingi nazipataga youtube nimemjulia huko.

1. Mtiga Abdala. Huyu nimemjua kwenye the story book ya wasafi fm.

Hata makala iwe mbovu usomaji wao tu utaipenda.
Nawakublia sana hebu ongeza mwingine unaemjua nimtafute
 
Nimefuatilia sana kwenye radio na mitandaoni pia nimegundua kuna watu wako vizuri sana kwenye usomaji wa makala. Top 3 yangu hii

3. Spesho Kabwanga (kituo chake youtube) anasomaga pia kwenye sports extra.

2. Ananias Edgar Makaza zake nyingi nazipataga youtube nimemjulia huko.

1. Mtiga Abdala. Huyu nimemjua kwenye the story book ya wasafi fm.

Hata makala iwe mbovu usomaji wao tu utaipenda.
Nawakublia sana hebu ongeza mwingine unaemjua nimtafute
kuna jamaa tbc taifa huwaga ana section ya tafakuri baada ya habari,havutii halaf hajui kama havutii,huwaga nazma akianza kubwabwaja ili nisubir wosia wa baba (nyerere),yaani jamaa sauti haivutii halaf anasifia had kero,anajua kujitoa ufaham hujawah ona
 
Back
Top Bottom