Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Nimefuatilia sana kwenye radio na mitandaoni pia nimegundua kuna watu wako vizuri sana kwenye usomaji wa makala. Top 3 yangu hii
3. Spesho Kabwanga (kituo chake youtube) anasomaga pia kwenye sports extra.
2. Ananias Edgar Makaza zake nyingi nazipataga youtube nimemjulia huko.
1. Mtiga Abdala. Huyu nimemjua kwenye the story book ya wasafi fm.
Hata makala iwe mbovu usomaji wao tu utaipenda.
Nawakublia sana hebu ongeza mwingine unaemjua nimtafute
3. Spesho Kabwanga (kituo chake youtube) anasomaga pia kwenye sports extra.
2. Ananias Edgar Makaza zake nyingi nazipataga youtube nimemjulia huko.
1. Mtiga Abdala. Huyu nimemjua kwenye the story book ya wasafi fm.
Hata makala iwe mbovu usomaji wao tu utaipenda.
Nawakublia sana hebu ongeza mwingine unaemjua nimtafute