MIRA01
JF-Expert Member
- Sep 18, 2023
- 319
- 695
Naomba niweke hili wazi kabla sijaendelea na hiii mada kwenye kurasa huu, sipo hapa kuhukumu wala kukosoa imani ya mtu yeyote yule kuanzia kwenye madhehebu na iman na dini tofauti
Moja ya vitu ambavyo wakristo wengi wanapambana navyo kwenye kipindi hiki cha mwisho wa kufunga historia ya ulimwengu huu ni hii ni kuwavuta na kuwashawishi watu wengi waamie kwenye madhehebu yao ama iman zao,
Kiukweli ni wakristo wananiru juu ya ujio wa Yesu kristo mara ya pili ulimwenguni, hilo sizan kama kuna mtu ama dini anabisha kuhusu hili kwa maana lipo wazi kwenye vitabu vyote vya iman. Sasa niwatoe hofu watu wote ambao kazi yao nikuwaaminisha madhehebu yao ndio njia na ya kweli ya watu kwenda mbinguni!
Ni wazi ya kwamba wanakosea sana na ni wazi ya kwamba wanawadanganya watu wengi na wengi hupotea kwa sababu hizo maana wanaingia makanisan ambapo huenda kuwaamin watumishi wao ambao wengi ni wauongo na mara hufadhaika miyoyoni mwao na kuona na kukana imani zao.
Mungu wa mbinguni anawatu wake maeno yote ya ulimwengu, nao ni WAKRISTO na sio wa dhehebu fulani l, watu hao wapo maeneo yote ya ulimwengu huu, wapo makanisani kwa waroman wapo kwa walutheli wapo pia kwa walokole na makanisa ya kikristo ulimwenguni kote, Mungu huwajua watu wake na watu wake wanamjua na kumuamini wanayemuabudu na sio kuwa na iman yao kwenye makanisa ama madhehebu ya makanisa ya Kikristo.
Sasa nawashangaa zaidi watu wanaowalazimisha watu wengine kushiriki kwenye makanisa yao ambayo mengi kwayo ni milango ya kuingilia kuzimu kwa sababu kila msingi wa kanisa na waanzilishi wao wana mission na vision zao na wanazitekeleza kila kitu.
Sasa kwann uangaike na kutangatanga kwwnye mambo mbayo hayatokupeleka popote hata mbinguni?
Muubirini kwa watu kwamba Yesu anawapenda muwafanye kuwa wanafunzi wa Yesu na sio wanafunzi wa kanisa fulani, na wakiamini basi msisite kuwa batiza kwa maji mengi na kuwakabidhi kwa YESU kristo ili wabatizwe kwa roho, ndilo agizo kuu la Bwana kwa mitume na watumishi wake.
Moja ya vitu ambavyo wakristo wengi wanapambana navyo kwenye kipindi hiki cha mwisho wa kufunga historia ya ulimwengu huu ni hii ni kuwavuta na kuwashawishi watu wengi waamie kwenye madhehebu yao ama iman zao,
Kiukweli ni wakristo wananiru juu ya ujio wa Yesu kristo mara ya pili ulimwenguni, hilo sizan kama kuna mtu ama dini anabisha kuhusu hili kwa maana lipo wazi kwenye vitabu vyote vya iman. Sasa niwatoe hofu watu wote ambao kazi yao nikuwaaminisha madhehebu yao ndio njia na ya kweli ya watu kwenda mbinguni!
Ni wazi ya kwamba wanakosea sana na ni wazi ya kwamba wanawadanganya watu wengi na wengi hupotea kwa sababu hizo maana wanaingia makanisan ambapo huenda kuwaamin watumishi wao ambao wengi ni wauongo na mara hufadhaika miyoyoni mwao na kuona na kukana imani zao.
Mungu wa mbinguni anawatu wake maeno yote ya ulimwengu, nao ni WAKRISTO na sio wa dhehebu fulani l, watu hao wapo maeneo yote ya ulimwengu huu, wapo makanisani kwa waroman wapo kwa walutheli wapo pia kwa walokole na makanisa ya kikristo ulimwenguni kote, Mungu huwajua watu wake na watu wake wanamjua na kumuamini wanayemuabudu na sio kuwa na iman yao kwenye makanisa ama madhehebu ya makanisa ya Kikristo.
Sasa nawashangaa zaidi watu wanaowalazimisha watu wengine kushiriki kwenye makanisa yao ambayo mengi kwayo ni milango ya kuingilia kuzimu kwa sababu kila msingi wa kanisa na waanzilishi wao wana mission na vision zao na wanazitekeleza kila kitu.
Sasa kwann uangaike na kutangatanga kwwnye mambo mbayo hayatokupeleka popote hata mbinguni?
Muubirini kwa watu kwamba Yesu anawapenda muwafanye kuwa wanafunzi wa Yesu na sio wanafunzi wa kanisa fulani, na wakiamini basi msisite kuwa batiza kwa maji mengi na kuwakabidhi kwa YESU kristo ili wabatizwe kwa roho, ndilo agizo kuu la Bwana kwa mitume na watumishi wake.