Hawa ndiyo Kariobangi

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Kariobangi ni timu inayokuja juu hapa afrika mashariki ambapo mapema mwaka huu imetoka sare na Everton na hivi karibuni imetoka sare na YANGA AFRIKA wako vizuri karriobange
 
Hao sio kariobangi,hao wanaitwa kariobange ni balaa duniani.. sio wale mikia fc wanaleta timu za hovyohovyo halafu wana anza kujisifia eti wameshinda 3...
 
Hao mbona vibonde tu had KMC amejipigia
 
Klabu ya KMC imeibuka na ushinda wa mabao 2-1 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Kariobangi Sharks ya Kenya mchezo ambao umefanyika Jumanne ya Agosti 6, 2019 asubuhi katika dimba la Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mabao ya KMC yamefungwa na Serge Nigues dakika ya 21′ na Vitalis Mayanga dakika 82′ huku la bao Kariobangi Sharks likifungwa na Julius Masaba dakika ya 23′.
 
Siku 1 baada ya mechi matata na Yanga. Kesho yake KMC.

Uchovu, nk.
Sijawahi sikia Vyura wanakosa sababu kwa kila kitu mala hivi male vile yan nivirugu tu
 
Mpira unachezwa asubuhi hayo ni mazoezi au mechi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…