Hawa ndiyo makocha wa kumrithi Jose Mourinho pale Old Trafford

Maybe Pep Guardiola coaches basketball team..!
Kwa hiyo ronaldo aliposhinda zile tuzo mess alikuwa anacheza criket?
Akisema best koch hana mana pep kocha mbaya hakuna asiejua uzur wa pep mourinho ni kat ya makocha wazur baran ulaya.
 
Mimi ni fan wa Man Utd.Kusema ukweli, namkubali na namheshimu Mourinho lakini simkubali kwa kuwa sikubaliani na falsafa yake ya ufundishaji mpira.
Amefanya mengi sana,lakini staili hii ya soka la kujilinda haitamjengea heshima pale OT.Labda akubali kubadilika,vinginevyo naona safari yake inaelekea ukingoni.
 
story za mwanaspot bana hapo hamna hata kocha mmoja mwenye cv ya kuifundisha manchester united ZAIDI YA MOURINHO mwenyewe ni bora apewe giggs tu kabeba mataj yote ngazi ya club na anaujua utamaduni wa manchester united.
Yule wa AS Monaco anaweza kuendana na falsafa ya OT tuliyoizoea.Giggs atumike kusimama nae pamoja ili baadae aendelee mwenyewe.
 
Manchester United have opened talks with Jose Mourinho regarding an extension to his current contract, says Sky Sports.
 
Yule wa AS Monaco anaweza kuendana na falsafa ya OT tuliyoizoea.Giggs atumike kusimama nae pamoja ili baadae aendelee mwenyewe.
huyo wa monaco akipewa timu akifungwa mechi tatu mfululizo mtaanza kumtukana huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…