Hawa ndiyo wa kulaumiwa juu ya selikali 3 na siyo warioba;

Hawa ndiyo wa kulaumiwa juu ya selikali 3 na siyo warioba;

MUWHWELA

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
167
Reaction score
238
Habari wana jopo!
Ni furaha yangu kuwapo tena ndani ya jamvi hili la wafikirio chanya kwa mda mrefu kuliko wafikirio hasi..baada ya kupitia majarida,na maandiko tofauti katika vyombo tofauti vya habari,nimepatwa kidogo na mshituko juu ya wasomi hawa na waandishi hawa kujikita kushambulia watu kuliko kutoa hoja juu ya MCHAKATO WA KATIBA MPYA.

Hakuna asiyejua kwamba muungano wetu unamatatizo na kama hujui basi umeamua kutokujua kwa masirahi yako binafsi,lakini kwa habari ya kero za muungano zipo wazi,

Hoja yangu,rais wa zanzibar na rais wa jamuhuri,pamoja na wandamizi wao wakuu wa serikali hizi,ndio wanapaswa kuulizwa juu ya serikali tatu na si mh warioba,ikumbukwe kwamba rais wetu ndiye aliyeshindwa kuzuia mabadiliko ya katiba ya zanzibar ambayo katiba hiyo ilivunja rasim muungano wetu.

Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,si muumini wa selikali 3 wala 2,mimi naamini katika selikali 1,ambayo rais wangu aliyopo madarakani ameshindwa hata kudhubutu kuelekeza watanzania kuelekea katika selikali moja,mtu yoyote ambaye ukweli kwake ni kitu cha thamani sana,ajiulize tangu kero za muungano zianze kwa nini viongozi hawa hawataki kutuuliza wananchi maswali mawili muhimu.

1-JE TUNATAKA MUUNGANO?
2-TUNATAKA MUUNGANO WA NAMNA IPI?

Rais wangu,waziri mkuu wangu,usalama wa taifa langu nilipendalo la tanzania, mtalaumiwa sana na vizazi vijavyo kwa hili,maridhiano yoyote ya kisiasa popote duniani msingi wake mkubwa huwa ni HAKI NA USAWA, baada ya vitu hivyo kupatikana mazungumzo yoyote hufanyika kwa ufanisi mkubwa.mmeshindwa kufanya maamuzi sahihi,kwa muda sahihi,itawagharimu duniani hata mbinguni,....

Watanzania wa leo si wale wa 77 ni watanzania ambao wanataka kuona neema katika taifa lao na siyo kuona machafuko,ila kama hekima yako ndugu rais na washika nchi wenzako itayumba,basi selikali iliyopo madarakani itapata shida sana mwishoni mwa kuondoka kwako na baada ya kuondoka kwako madarakani...BUSARA YAKO NA HEKIMA YAKO ITALIVUSHA TAIFA HILI SALAMA ----NAKUOMBEA KWA MUNGU,,,,



wanaharakati; najua machungu na jinsi ambavyo kazi hii ilivyo ngumu kuweni na msimamo usioyumba na acheni kuwa na matamko ambayo mnajua kuyasimamia matamko hayo hamwezi......WALIOWEZA WALISIMAMIA KILE WALICHOKISEMA


Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki afrika
 
Baada ya kutoweka Mvungi walidhani basi serikali tatu zimezikwa na Mvungi, kumbe wameweka petroli kwenye moto!
 
Utaifa wetu wa Tanganyika unarudi. Mimi nawashangaa wale wanaomlaumu Mzee/Jaji Warioba eti ndiye muasisi wa Serikali tatu!!! Hivi kweli Watz ni wasahaulifu kiasi hicho kumbukeni Taarifa ya Tume ya Jaji Nyarali na Tume ya Jaji Kisanga hizi zote zilisema kuwa Watz wanaitaka Tanganyika irudi ulingoni, ingawa taarifa zao hazikuwafurahisha wakubwa ktk nchi (yaaaani wale wenye mamlaka ya kufanya maamuzi)

Tusisahau Tanganyika inarudi, moja ya sababu kubwa ni dharau za wenzetu wa Tanzania Visiwani (Zanzibar) kuwadharau watu wa huku Tz Bara mpaka kufikia hatua ya kutuita Wakoloni. Wao chao ni chao ila cha Tanganyika ni cha wote. Tanganyika ikirudi tutaheshimiana, dharau zao za kipuuzi zitaisha. TANGANYIKA YETU INARUDI kisha kitaeleweka tu
 
Habari wana jopo!
Ni furaha yangu kuwapo tena ndani ya jamvi hili la wafikirio chanya kwa mda mrefu kuliko wafikirio hasi..baada ya kupitia majarida,na maandiko tofauti katika vyombo tofauti vya habari,nimepatwa kidogo na mshituko juu ya wasomi hawa na waandishi hawa kujikita kushambulia watu kuliko kutoa hoja juu ya MCHAKATO WA KATIBA MPYA.

Hakuna asiyejua kwamba muungano wetu unamatatizo na kama hujui basi umeamua kutokujua kwa masirahi yako binafsi,lakini kwa habari ya kero za muungano zipo wazi,

Hoja yangu,rais wa zanzibar na rais wa jamuhuri,pamoja na wandamizi wao wakuu wa serikali hizi,ndio wanapaswa kuulizwa juu ya serikali tatu na si mh warioba,ikumbukwe kwamba rais wetu ndiye aliyeshindwa kuzuia mabadiliko ya katiba ya zanzibar ambayo katiba hiyo ilivunja rasim muungano wetu.

Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,si muumini wa selikali 3 wala 2,mimi naamini katika selikali 1,ambayo rais wangu aliyopo madarakani ameshindwa hata kudhubutu kuelekeza watanzania kuelekea katika selikali moja,mtu yoyote ambaye ukweli kwake ni kitu cha thamani sana,ajiulize tangu kero za muungano zianze kwa nini viongozi hawa hawataki kutuuliza wananchi maswali mawili muhimu.

1-JE TUNATAKA MUUNGANO?
2-TUNATAKA MUUNGANO WA NAMNA IPI?

Rais wangu,waziri mkuu wangu,usalama wa taifa langu nilipendalo la tanzania, mtalaumiwa sana na vizazi vijavyo kwa hili,maridhiano yoyote ya kisiasa popote duniani msingi wake mkubwa huwa ni HAKI NA USAWA, baada ya vitu hivyo kupatikana mazungumzo yoyote hufanyika kwa ufanisi mkubwa.mmeshindwa kufanya maamuzi sahihi,kwa muda sahihi,itawagharimu duniani hata mbinguni,....

Watanzania wa leo si wale wa 77 ni watanzania ambao wanataka kuona neema katika taifa lao na siyo kuona machafuko,ila kama hekima yako ndugu rais na washika nchi wenzako itayumba,basi selikali iliyopo madarakani itapata shida sana mwishoni mwa kuondoka kwako na baada ya kuondoka kwako madarakani...BUSARA YAKO NA HEKIMA YAKO ITALIVUSHA TAIFA HILI SALAMA ----NAKUOMBEA KWA MUNGU,,,,



wanaharakati; najua machungu na jinsi ambavyo kazi hii ilivyo ngumu kuweni na msimamo usioyumba na acheni kuwa na matamko ambayo mnajua kuyasimamia matamko hayo hamwezi......WALIOWEZA WALISIMAMIA KILE WALICHOKISEMA


Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki afrika

Ukiwapa watoto wadogo kuigiza Bunge la Tanzania utachoka mwenyewe jinsi watakuwekea mpaka Spika na kuendesha mijadala kama hiyo hiyo mnayoendesha nyie huko Dodoma. Hivyo hivyo ukikuta nchi ambayo haijitambui itaendesha vyombo rasmi bila kujua kuwa vyombo vyote vilishakuwa kama vya serikali na mabunge ya kuigiza.

Kabla hajafa Nyerere aliwaambia Rais wenu mnaye hukohuko mmekaa naye na kumtesa, wote mkasema bila shaka ni Mrema. Mnayemchukia na kumtesa kiukweli hata jina lake mnasinyaa kumtaja hadharani. Sasa mnakutana na matatizo mnauliza yanatoka wapi?!!!! Joto ya jiwe kishajua.

Tunawatakia kila la kheri. Serikali tatu hizo hapo, au labda mtakuwa CCM mpate mbili?!!
 
Serikali tatu haifai kabisa, zenji wapige kura za maoni, wasiotaka muungano wakishinda wapewe visiwa vyao, period.
 
Habari wana jopo!
Ni furaha yangu kuwapo tena ndani ya jamvi hili la wafikirio chanya kwa mda mrefu kuliko wafikirio hasi..baada ya kupitia majarida,na maandiko tofauti katika vyombo tofauti vya habari,nimepatwa kidogo na mshituko juu ya wasomi hawa na waandishi hawa kujikita kushambulia watu kuliko kutoa hoja juu ya MCHAKATO WA KATIBA MPYA.

Hakuna asiyejua kwamba muungano wetu unamatatizo na kama hujui basi umeamua kutokujua kwa masirahi yako binafsi,lakini kwa habari ya kero za muungano zipo wazi,

Hoja yangu,rais wa zanzibar na rais wa jamuhuri,pamoja na wandamizi wao wakuu wa serikali hizi,ndio wanapaswa kuulizwa juu ya serikali tatu na si mh warioba,ikumbukwe kwamba rais wetu ndiye aliyeshindwa kuzuia mabadiliko ya katiba ya zanzibar ambayo katiba hiyo ilivunja rasim muungano wetu.

Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu,si muumini wa selikali 3 wala 2,mimi naamini katika selikali 1,ambayo rais wangu aliyopo madarakani ameshindwa hata kudhubutu kuelekeza watanzania kuelekea katika selikali moja,mtu yoyote ambaye ukweli kwake ni kitu cha thamani sana,ajiulize tangu kero za muungano zianze kwa nini viongozi hawa hawataki kutuuliza wananchi maswali mawili muhimu.

1-JE TUNATAKA MUUNGANO?
2-TUNATAKA MUUNGANO WA NAMNA IPI?

Rais wangu,waziri mkuu wangu,usalama wa taifa langu nilipendalo la tanzania, mtalaumiwa sana na vizazi vijavyo kwa hili,maridhiano yoyote ya kisiasa popote duniani msingi wake mkubwa huwa ni HAKI NA USAWA, baada ya vitu hivyo kupatikana mazungumzo yoyote hufanyika kwa ufanisi mkubwa.mmeshindwa kufanya maamuzi sahihi,kwa muda sahihi,itawagharimu duniani hata mbinguni,....

Watanzania wa leo si wale wa 77 ni watanzania ambao wanataka kuona neema katika taifa lao na siyo kuona machafuko,ila kama hekima yako ndugu rais na washika nchi wenzako itayumba,basi selikali iliyopo madarakani itapata shida sana mwishoni mwa kuondoka kwako na baada ya kuondoka kwako madarakani...BUSARA YAKO NA HEKIMA YAKO ITALIVUSHA TAIFA HILI SALAMA ----NAKUOMBEA KWA MUNGU,,,,
Serikali tatu haipingiki, Muungano una matatizo huu.
 
Back
Top Bottom