Hawa ndiyo wahenga Bongo waliooa wazungu

Hashpower7113

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
1,353
Reaction score
2,142
Heshima kwenu wakuu!

Kwa mwenye kuelewa, naomba anisaidie kuwataja wahenga wa Bongo kutoka tasnia mbalimbali, kuanzia siasa, muziki na kadhalika, waliooa wake wazungu.

Kwa kuanzia, nimepata orodha fupi, ya mzee Kingunge, naambiwa mkewe ni Mrusi, lakini pia Profesa Sarungi naye mkewe ni Mrusi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Binilith Mahenge naye alivuta jiko kutoka mbele sambamba na marehemu Dokta Remmy ambaye naye ameacha mjane Mzungu.

Nitashukuru kama nitapata ushirikiano chanya!


Profesa Sarungi akiwa na ubavu wake.


Mzee Kingunge akiwa na wa ubani wake.
 
Mzungu aki cross na mwafrika watoto wanapatikana wazuri sana, shida ni mwafrika across na ....[malizia]
Kweli mkuu.
Kuna demu nilikuwa naye siku zilizopita, yaani alikuwa akiliongelea sana.

Alikuwa akiongea product ya mzungu na mwafrica(watoto) wanakuwa wazuri mno.

Mungu amsaidie sana japo hatukufanikiwa lengo letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…