Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,142
Ahsante sana Mkuu, ni kweli nimeona Profesa Simon Mbilinyi naye mkewe ni MzunguDr shiΔ·a. Prof mbilinyi
Mkuu utapimwa mkojo kwa uchocheziMzungu aki cross na mwafrika watoto wanapatikana wazuri sana, shida ni mwafrika across na ....[malizia]
Mgiriki huyoHuyo mke wa kingunge mbona si mzungu anaonekana kama ni mmanga tu.
Maggid ndo nani mkuu na ana wadhifa gani? au umemaanisha Maggid Mjengwa?
Wewe nani mkuu kwa maana ya jina na tasnia unayotokeaMimi pia....
Kweli mkuu.Mzungu aki cross na mwafrika watoto wanapatikana wazuri sana, shida ni mwafrika across na ....[malizia]
Shika atakuwaWewe nani mkuu kwa maana ya jina na tasnia unayotokea
Vipi kuhusu mwafrika na mhindiKweli mkuu.
Kuna demu nilikuwa naye siku zilizopita, yaani alikuwa akiliongelea sana.
Alikuwa akiongea product ya mzungu na mwafrica(watoto) wanakuwa wazuri mno.
Mungu amsaidie sana japo hatukufanikiwa lengo letu.
Sijui kuhusu mwafrika na mhindi. Sijajua kuhusu hilo.Vipi kuhusu mwafrika na mhindi