Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani nmecheka eti mhaya wa wapi vileWee ni muongo mke wa Kingunge ni muhaya wa kamachumu,Muleba Ila ana asiri ya India.Anaongea kihaya pure.Hana unasaba wowote na Uzungu.
Saluti mkuuDr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
Alikuwa anasifia tu baada ya kuwa tumepatana kwa kutoa mifano ya waliooana mzungu na mwafrica huko kwao.Kwahiyo hiyo product inakuongezea kipato?? Au ni watoto wa kawaida tu!
😀😀😀Bila kumsahau Prof. Da Mange Kimambi alikuwa ameolewa na mzungu...
Mke wa professor sarungi ni mu Hungary, siyo mrusi
Mbona comment ya Kingunge hujauliza *Kinginge ni nani?Wewe nani mkuu kwa maana ya jina na tasnia unayotokea
Tatizo dogo hili mkuuAsili [emoji736] Asiri[emoji777]
Mhh mm au mwingine!!!aww!!Vipi Le Kopoz aka Le kubwa jinga aka Le mzee wa wabeibe wakali kama womanity
Dr. Winani umenikumbusha mbali.Dr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
ExactlyWee ni muongo mke wa Kingunge ni muhaya wa kamachumu,Muleba Ila ana asiri ya India.Anaongea kihaya pure.Hana unasaba wowote na Uzungu.
Mzungu aki cross na mwafrika watoto wanapatikana wazuri sana, shida ni mwafrika across na ....[malizia]
Salawi ya shy mkuu au?Dr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
I know lkn ni vema kuwekana sawa mkuu.Tatizo dogo hili mkuu