Ila hawa wenzetu sijui uzuri wao huwa wanaangalia nini mimi hapo naona wa pili ndo mzuri zaidi na labda Deepika
Shepu ziko wapi?
naunga mkono hojaKama kwenye Listi hii hayupo mke wangu mama Manka ni Batili.
Aisee😌Uzuri wao ni wembamba
Hamna kitu huko bariadi zaidi ya sifa tu nimekuwepo bariadi ladt week sijaona hao warembo unao wanaosifiwa ...We mleta mada njoo huku Bariadi utakoma kuleta vitu vya ajabu hapa
.Shepu ziko wapi?
Endelea mkuu beauty dior, ms Cleo, mz booty, crystal clear,Victoria cake,moniroe,Kelly star,.....Na nyomi banks kaka na jada fire na kapri style kaka na pinky na america kaka na aryana starr 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nirndelee au niishie hapo mkubwa mwenzangu🤣🤣🤣🤣