Elections 2010 Hawa new habari corporation!!!

Pokola

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2010
Posts
716
Reaction score
177
Jamani kuna kitu kimoja kinakera sana katika mambo haya ya kampeni- kuona vyombo vya habari vikiwa biased bila hata kuficha. Channel Ten nawauliza swali, je mmeamua kuwa makada wa CCM na kuacha kuwapa habari mbalimbali watazamaji wenu bila upendeleo?

Je, mnaangalia mbali? Hamjui ya kuwa mtapoteza watazamaji wengi sana kwa kuwa kila habari yenu inatabirika hata kabla hamjaitoa??? Nawachukia sana, na magazeti yenu yote. SITAANGALIA TENA HABARI ZENU.
 

Mtu anapoelekea kufa hata ukimkataza kitu harudi nyuma!

Waache vibaraka hawa, wanakimbilia kaburi!
 
Hiyo ni TV station ya mafisadi. Waliinunua kwa malengo haya ambayo sasa mnayashuhudia. Hakuna professionalism hapo. Naamini baadhi ya journalists hapo ni wazalendo wa kweli na wanachukia ushenzi n wizi wa CCM lakini hawana la kufanya. Mafisadi ni lazima wahakikishe kuwa serikali dhaifu ya CCM inaendelea kuwepo madarakani ili iendelee kuwalea wakati wanaliibia taifa letu. Maskini watanzania!
 
jangili rostam aziz, na wenzako hakikisheni mna kimbia nchi kabla ya october 31 au la keko hakutawatosha
 

Mzee,
haya uliyonena ni maneno mazito ambayo wengi wetu ni vigumu kuyaelewa.
Lakini nina matumaini makubwa kwamba kipindi hiki wengi tutayaelewa.
 
jangili rostam aziz, na wenzako hakikisheni mna kimbia nchi kabla ya october 31 au la keko hakutawatosha

Hata waende wapi tutawakamata, tuwarudisha hapa na watakiona cha mtema kuni!! Nyambafu zao!! lol
 

Na wewe umechanganyikiwa nini? Huwezi kutofautisha issue na mtu, kule Mwanahalisi agenda imekuwa ni ufisadi, na ukizungumzia ufisadi inawagusa hao uliowataja, lakini ingekuwa ni Slaa naye kawa fisadi angetajwa hivyo hivyo, maana hoja ni ufisadi. Tofauti na hawa wengine, hata pale palipo na shida bado wanasema ah haya sio kweli. Nadhani mfano wa AN Nur ulioutoa sio mzuri,hawa ni tofauti, si waislamu wenyewe wanawaita hao ni wa siasa kali katika dini, yaani kwao dini ni kama bangi inavyomharibu mtu, ni kama wale walokole wa kikristo nao hivyo hivyo, hao tumewapoteza wenzetu, tusijilinganishe nao. Walinganishe na walevi wa bangi, maana hawawezi wakaona chochote zaidi wanachoamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…