Mimi ni kama wewe..nimewahi kuwaamini hao chadema,lakini haya yapokee iwapo unalipenda hilo chama,ili ukawashauli au baki kama mimi kua sina chama, nasema tena hilo chama la wahuni wavuta bangi walevi na washenzi ukiwemo na wewe.Muhuni ni babako na mamako
Mna apply tactic ya kizamani sana.Kufanya makosa ili mtiwe hatiani then mkalielie njaa kwa mabeberu.
Ujinga mtupu!
Mimi ni kama wewe..nimewahi kuwaamini hao chadema,lakini haya yapokee iwapo unalipenda hilo chama,ili ukawashauli au baki kama mimi kua sina chama, nasema tena hilo chama la wahuni wavuta bangi walevi na washenzi ukiwemo na wewe.
Hujui kama ni kosa kufanya mikusanyiko. Kumbe hata sheria hamjui, ndo maana mnaendeshwa kihuni.Kosa hapo ni lipi mkuu? Ameitisha mkutano kinyume na sheria? Au ameenda kurudisha fomu na watu wake? Aina kosa na kifungu cha sheria kinachoonesha hilo kosa tafadhali.
Huna kosa shida yako unajua kusoma na kuandika.Hili lichama ni la kihuni tu..lakini waTanzania baadhi hamuonagi,sijui hua mna macho gani na fikra gani. Chama cha wahuni hiki wala msisingizie eti serikali inatenda mabaya,hua wanatafuta kitu chenye kuvunja sheria wazi wazi ili wakikamatwa watengeneze story, ukitaka kujua hawa ni wahuni tazama wanavyo jiendesha na tazama majuzi na jana jinsi hiyo CCM ilivyo kua ikiendesha mambo yake LIVE kila mtu anaona,kundi kubwa la watu wengi wao wakiwa na hekima na busara,lakini upande wa pili wako kihuni huni tu hata hawaeleweki
Aliyekuambia kukusanyika ni kosa nani? Kwahiyo niko na kikao nyumbani kwangu na ndugu zangu tukakusanyika ni kosa? Acha basi labda jaribu kuelezea mikusanyiko ya aina gani mkuu.Hujui kama ni kosa kufanya mikusanyiko. Kumbe hata sheria hamjui, ndo maana mnaendeshwa kihuni.
Kama chama ni cha wahuni,huoni ukichangia huu uzi wewe ndiyo unaonekana ndiyo mhuni zaidi?Hili lichama ni la kihuni tu..lakini waTanzania baadhi hamuonagi,sijui hua mna macho gani na fikra gani. Chama cha wahuni hiki wala msisingizie eti serikali inatenda mabaya,hua wanatafuta kitu chenye kuvunja sheria wazi wazi ili wakikamatwa watengeneze story, ukitaka kujua hawa ni wahuni tazama wanavyo jiendesha na tazama majuzi na jana jinsi hiyo CCM ilivyo kua ikiendesha mambo yake LIVE kila mtu anaona,kundi kubwa la watu wengi wao wakiwa na hekima na busara,lakini upande wa pili wako kihuni huni tu hata hawaeleweki
Sijakulazimisha uninukuu.Balance shobo!Mjinga ni wewe msukule wa lumumba.
Ndo maana nasema hamjui Sheria. Yaani unadiriki kabisa kusema eti kukusanyika ni kosa? Nenda kasome sheria ya polisi utajua.Aliyekuambia kukusanyika ni kosa nani? Kwahiyo niko na kikao nyumbani kwangu na ndugu zangu tukakusanyika ni kosa? Acha basi labda jaribu kuelezea mikusanyiko ya aina gani mkuu.
jana lile kundi wengi wana hekima na busaraHili lichama ni la kihuni tu..lakini waTanzania baadhi hamuonagi,sijui hua mna macho gani na fikra gani. Chama cha wahuni hiki wala msisingizie eti serikali inatenda mabaya,hua wanatafuta kitu chenye kuvunja sheria wazi wazi ili wakikamatwa watengeneze story, ukitaka kujua hawa ni wahuni tazama wanavyo jiendesha na tazama majuzi na jana jinsi hiyo CCM ilivyo kua ikiendesha mambo yake LIVE kila mtu anaona,kundi kubwa la watu wengi wao wakiwa na hekima na busara,lakini upande wa pili wako kihuni huni tu hata hawaeleweki
Huu ni mwandiko wa mbunge wa Mtera kabisaaaa! Na kama siyo yeye akanushe.Hili lichama ni la kihuni tu..lakini waTanzania baadhi hamuonagi,sijui hua mna macho gani na fikra gani. Chama cha wahuni hiki wala msisingizie eti serikali inatenda mabaya,hua wanatafuta kitu chenye kuvunja sheria wazi wazi ili wakikamatwa watengeneze story, ukitaka kujua hawa ni wahuni tazama wanavyo jiendesha na tazama majuzi na jana jinsi hiyo CCM ilivyo kua ikiendesha mambo yake LIVE kila mtu anaona,kundi kubwa la watu wengi wao wakiwa na hekima na busara,lakini upande wa pili wako kihuni huni tu hata hawaeleweki
Wanaweweseka na hasira zao wanazimalizia kwa wapinzani wa kweli,kamata kamata na kufunguliwa kesi/tuhuma za uchochezi ambazo hazina dhamana POLISI na/au Mahakamani.Uvunjifu wa sheria wa wazi wazi unafanywa na vyombo vya kutenda haki.Bado kuna watu wanasifia ili yasiwakute ya kina Membe&co.Maajabu ya Tanzania iliyokuwa kiranja wa kupigania haki za binadamu imevurugwa kikamilifu ndani ya muda mfupi na watu wachache wenye ushawishi na manufaa binafsi na chama chao kilichokataliwa.View attachment 1504356View attachment 1504357View attachment 1504358
Taarifa zinaonyesha kwamba mpango wa kuwarundika sero wanachadema wengi zaidi kwa siku zinazokuja umekamilika, atakayefuatia ni mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la Serengeti.
Kama ni wahuni wewe unaumia nini?.Si uwaache na uhuni wao.Pamoja na kwamba kila mtu anaakili zake ila zako naona zimeshikwa mahali.Hili lichama ni la kihuni tu..lakini waTanzania baadhi hamuonagi,sijui hua mna macho gani na fikra gani. Chama cha wahuni hiki wala msisingizie eti serikali inatenda mabaya,hua wanatafuta kitu chenye kuvunja sheria wazi wazi ili wakikamatwa watengeneze story, ukitaka kujua hawa ni wahuni tazama wanavyo jiendesha na tazama majuzi na jana jinsi hiyo CCM ilivyo kua ikiendesha mambo yake LIVE kila mtu anaona,kundi kubwa la watu wengi wao wakiwa na hekima na busara,lakini upande wa pili wako kihuni huni tu hata hawaeleweki
Jambo la kwanza ni kuziona kama hivi na kuzipeleka kwenye mahakama ya umma , nakala kwa ofisi zote za mabalozi wanaowakilisha nchi zao , lakini kubwa zaidi ni kupambana nao kisheria na kwa ubabe .Mmefanya au mnafanya nini kukabiliana na kadhia hiyo?
Ahaaaa kumbe ni kamchezo na nyuma yake yupo mbuzi dume aliyekomaa!!Mna apply tactic ya kizamani sana.Kufanya makosa ili mtiwe hatiani then mkalielie njaa kwa mabeberu.
Ujinga mtupu!
Unaambiwa huko watu wanatweza utu wa akina mama, sasa unategemea atwezwe na aendelee kujistri?Nusrat mrejee mola wako ulikuwa unajihifadhi kama Allah alivyotuamuru leo kwa ya kidunia umemsahau mola wako
Wawaweke mahabusu, ipo siku watatoka,View attachment 1504356View attachment 1504357View attachment 1504358
Taarifa zinaonyesha kwamba mpango wa kuwarundika sero wanachadema wengi zaidi kwa siku zinazokuja umekamilika, atakayefuatia ni mgombea ubunge wa CHADEMA jimbo la Serengeti.
Unaimba tuu hii cd imechoka saanWawaweke mahabusu, ipo siku watatoka,
Hao madhulmati muda wao ukifika sisi tutawaweka mahabusu ambayo hawatakaa watoke! Acha waendelee kusinzia, na infact muda wao umeshafika, ,mtego upo pale rais akishatua nchini akitokea ubelgiji watajuta!
Mkuu chama huwa ni ideology!! ideology ya Chadema ni harakati! wanachokosea ni mbinu za kufikisha agenda zao wanatumia mihemko jazba kashfa na matusi!Chadema ni chama cha wahuni,mwenye kukasirika akatekate viwembe ameze na glass moja ya maji