Hawa ni baadhi ya WanaCHADEMA waliokamatwa ndani ya wiki moja tu na kunyimwa dhamana. Who is next?

Uhuni wake ni upi?

Kufanya shughuli zake kiseheria?

Policcm wanaowakamata na kuwafanyia unyama ndio werevu?

Ukishashiba makande ficha ujinga wako.
 

Jukumu la polisi ni kuleta chuki nchini kwa kuifarakanisha ccm na wananchi kwa kuwatesa wapinzani.Japo awalijui Hilo.Polisi wanasaidia Sana kuuimarisha upinzani nchini,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…