Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
Habari wanajamii forum,nimeona isiwe mba tukashare baadhi ya picha za manusura RMS Titanic
Picha na 1.ROBERT HICHENS
Huyu alikuwa mmoja ya wafanyakazi wa meli ya titanic
-Ndiye aliyekuwa anaiongoza meli mpaka inagonga mwamba wa barafu
HENRY NOSS
Alikuwa mmoja ya wafanyakazi wa titanic
Alikuwa ni mtunza stoo mkuu wa Titanic
Alirudi southhamptons baaada ya tukio la kuzama kwa meli
CHARLES JOHN JOUGHIN
Alikuwa mfanyakazi wa Titanic
Alikuwa MUOKAJI MIKATE mkuu na mpishi katika meli ya titanic
Inasemekana aliokolewa na kinywaji cha whiskey,kwa kuwa mara baada ya kuona hali ni tete,akajidunga na whiskey ya kutosha ili kuondoa uoga then akajitupa kwenye maji mpaka alipookolewa na RMS Capathia
BERTHA GRIGGS CHAMBERS
Alikuwa anampa kapani mume wake ambaye ndiye aliyekuwa injinia wa meli hiyo bwana Norman Campbell Chambers na wote wawili walitoka salama
CAROLINE LOUISE ENDRES
Huyu mwanamama alikuwa nesi
Alirudi kuendelea na kazi yake mara baada ya kunusurika
CHARLES HALLACE ROMAINE
Alikuwa mchunguzi wa mambo ya papa
Hii ilikuwa safari yake ya 7 kwenye bahari na ndio ilikuwa safari pekee ambayo ilikuwa na mikosi kwake
AMERIA HUNT LEMORE
Alikuwa ameolewa na mwanaume mweusi mwenye aili ya africa,alikuwa anasafiri kwenda New York kufuatilia vifaa vya kitatibu kwa ajili ya pharmacy yao
WILLIAM JOHN MELLORS
Alikuwa ni muingereza na alijirusha kwenye maji na kuogelea kwa muda usiopungua masaa 2 kabla ya kuja kuokolewa na boti namba 8
MARY DAVIS
Ndiye aliyekuwa mwanamke mdogo kwa daraja la kwanza
Alikuwa anaelekea marekani kutafuta kazi
ANTHONY ABBING
Aliweza kupona kwenye ajali ya titanic
alikuwa mfua vyuma maarufu alikuwa anaishi south africa
EUGENE DALY
Alikuwa anasafirisha mabomba kuelekea africa ya kusini
aliweza kupona kwenye ajali baada ya kuokolewa
KATIE GILNAGH
Ni huyo aliyekaa
Mama yake hakuamini kama amepona mpaka alipotumiwa picha hii na dada yake aliyesimama
HIZI NI BAADHI TU YA PICHA NIKAONA SIO MAYA NIKASHARE NA WADAU AMBAO WAKO VERY THINKABLE
Picha na 1.ROBERT HICHENS
Huyu alikuwa mmoja ya wafanyakazi wa meli ya titanic
-Ndiye aliyekuwa anaiongoza meli mpaka inagonga mwamba wa barafu
HENRY NOSS
Alikuwa mmoja ya wafanyakazi wa titanic
Alikuwa ni mtunza stoo mkuu wa Titanic
Alirudi southhamptons baaada ya tukio la kuzama kwa meli
CHARLES JOHN JOUGHIN
Alikuwa mfanyakazi wa Titanic
Alikuwa MUOKAJI MIKATE mkuu na mpishi katika meli ya titanic
Inasemekana aliokolewa na kinywaji cha whiskey,kwa kuwa mara baada ya kuona hali ni tete,akajidunga na whiskey ya kutosha ili kuondoa uoga then akajitupa kwenye maji mpaka alipookolewa na RMS Capathia
BERTHA GRIGGS CHAMBERS
Alikuwa anampa kapani mume wake ambaye ndiye aliyekuwa injinia wa meli hiyo bwana Norman Campbell Chambers na wote wawili walitoka salama
CAROLINE LOUISE ENDRES
Huyu mwanamama alikuwa nesi
Alirudi kuendelea na kazi yake mara baada ya kunusurika
CHARLES HALLACE ROMAINE
Alikuwa mchunguzi wa mambo ya papa
Hii ilikuwa safari yake ya 7 kwenye bahari na ndio ilikuwa safari pekee ambayo ilikuwa na mikosi kwake
AMERIA HUNT LEMORE
Alikuwa ameolewa na mwanaume mweusi mwenye aili ya africa,alikuwa anasafiri kwenda New York kufuatilia vifaa vya kitatibu kwa ajili ya pharmacy yao
WILLIAM JOHN MELLORS
Alikuwa ni muingereza na alijirusha kwenye maji na kuogelea kwa muda usiopungua masaa 2 kabla ya kuja kuokolewa na boti namba 8
MARY DAVIS
Ndiye aliyekuwa mwanamke mdogo kwa daraja la kwanza
Alikuwa anaelekea marekani kutafuta kazi
ANTHONY ABBING
Aliweza kupona kwenye ajali ya titanic
alikuwa mfua vyuma maarufu alikuwa anaishi south africa
EUGENE DALY
Alikuwa anasafirisha mabomba kuelekea africa ya kusini
aliweza kupona kwenye ajali baada ya kuokolewa
KATIE GILNAGH
Ni huyo aliyekaa
Mama yake hakuamini kama amepona mpaka alipotumiwa picha hii na dada yake aliyesimama
HIZI NI BAADHI TU YA PICHA NIKAONA SIO MAYA NIKASHARE NA WADAU AMBAO WAKO VERY THINKABLE