hawa ni kina nani? na tafsiri please

Rais wa Urusi na Marekani..Hapo chini ni matusi matupu haifai kutafasiliwa..Tafadhali hii picha na maneno hayo ya kirusi ya matusi hayafai kukaaa humu Home of great thinkers..
 
Dah! Wewe uko dematoma umekwenda kufanya nini? Hiyo website picha zao nyingi maelezo yake ni kutukana tena matusi ya nguoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…