Shabdullah
Member
- Feb 17, 2020
- 65
- 52
HAWA NI KINA NANI???
UZI [emoji116]
Siku za hivyi karibuni utakuwa umekutana na video za hawa jamaa ambao kila mtu amewapa jina lake : wengine wanawaita kamati ya roho mbaya, wengine wajuba na majina mengine mengi. [emoji19]
NI KINA NANI?
Jamaa wanatokea nchini Ghana, ambako ni utamadauni wao kufanya mazishi yakiambatana na sherehe kubwa na kufurahia. Kundi unaloliona linatrend sana siku hizi liliundwa mwaka 2010, kiongozi wao ni Benjamin Aidoo ,ambaye kwa sasa ni star uko Ghana.
Mwaka 2017 Benjamin alifanya mahojiano na *BBS akaeleza kwamba "watu wa Ghana wanathamini sana watu waliokufa kuliko walio hai " yeye aliongeza thamani kwenye biashara yake ya Majeneza , akabuni mitindo ya kucheza, mteja akienda anaambiwa achague anataka mtu wake azikweje, na wengi huwa wanachagua wanapenda watu wao wasindikizwe kwa mbwembwe za kucheza .[emoji116]
Ule wimbo wa (Astrominia) unaotumika kwenye video zao za mtandaoni umeongezwa tu .Lakini nyimbo mbalimbali hutumika msibani.
JAMAA WANAPIGA HELA : Huko Ghana watu wanakopa Bank ili wakafanye sherehe za mazishi ,mtu kununua jeneza la Million 1 hadi 5 ni jambo la kawaida tu [emoji116]
Benjamin Aidoo hutoa huduma zake kwa mtonyo wa Cedis 2,220 ambao ni kama Sh. 883,754 hiyo ni ya kwenda kucheza tu hujaweka ya kununua Jeneza .
#Mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
UZI [emoji116]
Siku za hivyi karibuni utakuwa umekutana na video za hawa jamaa ambao kila mtu amewapa jina lake : wengine wanawaita kamati ya roho mbaya, wengine wajuba na majina mengine mengi. [emoji19]
NI KINA NANI?
Jamaa wanatokea nchini Ghana, ambako ni utamadauni wao kufanya mazishi yakiambatana na sherehe kubwa na kufurahia. Kundi unaloliona linatrend sana siku hizi liliundwa mwaka 2010, kiongozi wao ni Benjamin Aidoo ,ambaye kwa sasa ni star uko Ghana.
Mwaka 2017 Benjamin alifanya mahojiano na *BBS akaeleza kwamba "watu wa Ghana wanathamini sana watu waliokufa kuliko walio hai " yeye aliongeza thamani kwenye biashara yake ya Majeneza , akabuni mitindo ya kucheza, mteja akienda anaambiwa achague anataka mtu wake azikweje, na wengi huwa wanachagua wanapenda watu wao wasindikizwe kwa mbwembwe za kucheza .[emoji116]
Ule wimbo wa (Astrominia) unaotumika kwenye video zao za mtandaoni umeongezwa tu .Lakini nyimbo mbalimbali hutumika msibani.
JAMAA WANAPIGA HELA : Huko Ghana watu wanakopa Bank ili wakafanye sherehe za mazishi ,mtu kununua jeneza la Million 1 hadi 5 ni jambo la kawaida tu [emoji116]
Benjamin Aidoo hutoa huduma zake kwa mtonyo wa Cedis 2,220 ambao ni kama Sh. 883,754 hiyo ni ya kwenda kucheza tu hujaweka ya kununua Jeneza .
#Mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app