Hawa ni marefa wa rede au? Dakika 4 zinaongezwa iweje Refa anauchuna mpaka dakika 11

Hawa ni marefa wa rede au? Dakika 4 zinaongezwa iweje Refa anauchuna mpaka dakika 11

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hii kitendo cha refar's kujiongezea dakika hata kama walipoteza mda hii sio sahihi kabisa refa anatakiwa afungiwe huu Sasa sio mpira ni rede, Dakika 90 zimesha unaongeza 4 ni ruksa na sio zaidi ya hapo, Refa we unajiongezea kama nani?😢

Wewe kama ni Yanga au Simba vuta picha mechi ya Derby kufikia dakika 90 ni 1 - 1, refa anaongeza dakika 4 ila mechi inaenda hadi dakika 100 nje ya xtra time na timu pinzani inapata bao la ushindi. Hii kweli sawa?


1669577138498.png
 
Refa kawatafutia goli Azam mpaka amelipata, na dk kadhaa mpira akamaliza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20221127-213252.jpg
 
Wanaonunua matokeo ndio hawa, cha ajabu anatuhumiwa yanga anaeshinda kwa haki na jasho
 
Hii kitendo Cha refar's kujiongezea dakika hata kama walipoteza mda hii sio sahihi kabisa refa anatakiwa afungiwe huu Sasa sio mpira ni rede, Dakika 90 zimesha unaongeza 4 ni ruksa na sio zaidi ya hapo, Refa we unajiongezea kama nani?😢

Wewe kama ni Yanga au Simba vuta picha mechi ya Derby kufikia dakika 90 ni 1 - 1, refa anaongeza dakika 4 ila mechi inaenda hadi dakika 100 nje ya xtra time na timu pinzani inapata bao la ushindi ,,,,, Hii kweli sawa ?


View attachment 2429337
Nyie mmeumizwa na azam kushinda na kuwasukumiza nafasi ya 3, ayo mengine ni kichaka tu mnatafuta pa kujifichia kwani walipokuwa wanapoteza muda kwa makusudi awakujua refa anaweza kuufidia huo muda? Na nyie coast union wa mchongo inaonekana mmeumia sana na kama mliahidiwa chochote ili kumsimamisha Azam mmeyakanyaga safari hii ata nafasi ya pili ampati kudadadekiiii
 
Hii kitendo Cha refar's kujiongezea dakika hata kama walipoteza mda hii sio sahihi kabisa refa anatakiwa afungiwe huu Sasa sio mpira ni rede, Dakika 90 zimesha unaongeza 4 ni ruksa na sio zaidi ya hapo, Refa we unajiongezea kama nani?[emoji22]

Wewe kama ni Yanga au Simba vuta picha mechi ya Derby kufikia dakika 90 ni 1 - 1, refa anaongeza dakika 4 ila mechi inaenda hadi dakika 100 nje ya xtra time na timu pinzani inapata bao la ushindi ,,,,, Hii kweli sawa ?


View attachment 2429359
Nyie shindeni mechi zenu hivi vilio mtavisikia kwa majirani unless mtakua wakulalamika kila siku
 
Azam wamefundishwa na Utopolo bahasha ili kuikomoa Simba. Utopolo wanaharibu ligi yetu.
 
Kombe la dunia zinaongezwa nyingi tu mbona hamsemi,pia kwani hizo dk za nyongeza hao coast walifungwa kamba miguu wakabaki Azam pekee au?
 
Suala la upotezaji muda kwa makusudi linapaswa kukomeshwa. Ni ujinga Mtu kulipa kiinglio kwenda kuangalia wachezaji wanaojilaza bila sababu.
 
SHIDA KUBWA NI WATU KUFANANISHA MUDA WA KWENYE TV NA MUDA WA REFA, WANASAHAU KUWA SAA YA REFA INASIMAMISHWA KILA MPIRA UNAPOSIMAMA ILA ILE SAA YA KWENYE TV INAENDELEA KUHESABU..

GREAT THINKERS WANAOSHINDWA KUELEWA HATA JAMBO DOGO KAMA HILI NI AIBU KWA TAIFA
 
Back
Top Bottom