Nyie mmeumizwa na azam kushinda na kuwasukumiza nafasi ya 3, ayo mengine ni kichaka tu mnatafuta pa kujifichia kwani walipokuwa wanapoteza muda kwa makusudi awakujua refa anaweza kuufidia huo muda? Na nyie coast union wa mchongo inaonekana mmeumia sana na kama mliahidiwa chochote ili kumsimamisha Azam mmeyakanyaga safari hii ata nafasi ya pili ampati kudadadekiiiiHii kitendo Cha refar's kujiongezea dakika hata kama walipoteza mda hii sio sahihi kabisa refa anatakiwa afungiwe huu Sasa sio mpira ni rede, Dakika 90 zimesha unaongeza 4 ni ruksa na sio zaidi ya hapo, Refa we unajiongezea kama nani?😢
Wewe kama ni Yanga au Simba vuta picha mechi ya Derby kufikia dakika 90 ni 1 - 1, refa anaongeza dakika 4 ila mechi inaenda hadi dakika 100 nje ya xtra time na timu pinzani inapata bao la ushindi ,,,,, Hii kweli sawa ?
View attachment 2429337
Nyie shindeni mechi zenu hivi vilio mtavisikia kwa majirani unless mtakua wakulalamika kila sikuHii kitendo Cha refar's kujiongezea dakika hata kama walipoteza mda hii sio sahihi kabisa refa anatakiwa afungiwe huu Sasa sio mpira ni rede, Dakika 90 zimesha unaongeza 4 ni ruksa na sio zaidi ya hapo, Refa we unajiongezea kama nani?[emoji22]
Wewe kama ni Yanga au Simba vuta picha mechi ya Derby kufikia dakika 90 ni 1 - 1, refa anaongeza dakika 4 ila mechi inaenda hadi dakika 100 nje ya xtra time na timu pinzani inapata bao la ushindi ,,,,, Hii kweli sawa ?
View attachment 2429359
Dawa ndo hyo.Fifa wameanza kuonesha mfano kwenye hili kombe la dunianafikiri dawa nzuri ya wajinga wanaopoteza muda ni hii, wakipoteza muda hata iwe dakika 180 fresh tu.
Endeleeni na vituko tutakutana hapa mwisho wa msimuAzam wamefundishwa na Utopolo bahasha ili kuikomoa Simba. Utopolo wanaharibu ligi yetu.
Salah BaatmanAzam wamefundishwa na Utopolo bahasha ili kuikomoa Simba. Utopolo wanaharibu ligi yetu.