Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nilitaka nikubane hapa na pale kwa maswali lakini jina lako likanifanya nielewe na niache kuulizaHabari!
Wamatopeni / Mikia/ Paka / Nyau Fc nimewatazama naona kama wapo serious kidogo. Nimepitia haya mambo walifanya hivi karibuni ukiyachambua kwa kina unaweza kuona kama wanania kweli kweli.
Ila pia kunaweza kuwa kuna mambo yanaendelea chini ya carpet ambayo yanafichwa sasa wanatumia njia hii kupoteza wengi kwa kuonekana wapo serious kumbe ndani kumekwisha haribika.
Yetu macho kama mtaendelea na kasi hii basi tutaweza kuwaona mmejikwamua kidogo hata kwenye hayo mashindano ya kimataifa na kuachana na matumizi ya paka/nyau tena.
Nawasalimu Paka Fc wote salamu ziwafikie.
Nawasilisha
Cc: Kichwa Kichafu
Unateseka ukiwa wapi
Mbona bado hapo dawa haijawaingia vizuri.
Utelembwe United
Lile jina lenu "Utopolo FC" mmelikumbuka au tuwakumbushe?[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Ila jina limewakaa vema utadhani dereva mzee wa Lori bovu aliyefanana nalo.Utopolo FC!ππππPaka Fc au Nyau Fc
Tena ni man down-under the Jangwani swamp!Help!πππ
Manyani toaneni chawa kwanza wanaume tuna majukumu ya KimataifaHabari!
Wamatopeni / Mikia/ Paka / Nyau Fc nimewatazama naona kama wapo serious kidogo. Nimepitia haya mambo walifanya hivi karibuni ukiyachambua kwa kina unaweza kuona kama wanania kweli kweli.
Ila pia kunaweza kuwa kuna mambo yanaendelea chini ya carpet ambayo yanafichwa sasa wanatumia njia hii kupoteza wengi kwa kuonekana wapo serious kumbe ndani kumekwisha haribika.
Yetu macho kama mtaendelea na kasi hii basi tutaweza kuwaona mmejikwamua kidogo hata kwenye hayo mashindano ya kimataifa na kuachana na matumizi ya paka/nyau tena.
Nawasalimu Paka Fc wote salamu ziwafikie.
Nawasilisha
Cc: Kichwa Kichafu