Mr egm
Senior Member
- Jan 24, 2014
- 153
- 6
Habari ya majukumu wanajamvi.
Me nilikuwa na wafadhili wangu toka p/school hadi A'level lakini ikafika mda mawasiliano yakakatika kabisa na mpaka sasa sijui wa hali gan. Mara nyingine nakosa escot maake walikuwa wakinisaidia.
Nishauri nifanyeje kuwapata au?
Naomba kuwasilisha!
Me nilikuwa na wafadhili wangu toka p/school hadi A'level lakini ikafika mda mawasiliano yakakatika kabisa na mpaka sasa sijui wa hali gan. Mara nyingine nakosa escot maake walikuwa wakinisaidia.
Nishauri nifanyeje kuwapata au?
Naomba kuwasilisha!