Habar ya majukum wanajamvi!
Me nilikuwa na wafadhili wang toka p/school hadi A'level lakn ikafika mda mawasiliano yakakatika kabisa na mpaka sasa sijui wa hali gan;mara nyngne nakosa escot maake walikuw wakinisaidia!Nishaur nfanyeje kuwapata au ...?
Naomba kuwasilisha!