Yani kwanza investment centre ya bong imekunyia favor. chukua dili lako wewe mwenyewe. Here are the steps if you can not get help from the center.
1. Fungua Biashara Bongo. Au tafuta mtu mwenye biashara kama hiyo, kule nyumbani mshirikiane hata kidogo. (lamuhimu biashara halali na inalipa tax)
2. Mwambie mzungu wako aliewiva, kua kuna biashara inataka ishirikiane nae. Lazima atesema ipi?
3. Akikubali nenda benki watakusaidia kumaliza kila kitu wao wenyewe, yaani makaratasi kibao, design kama vile saini hapa saini pale mara mwana you closed the deal. na vimbanga vyako halili uyoooo!! mamtoni sio. au the beaches in dar, i know its kinda nice. or wekeza kungine au humo humo kwenye biashara yako kwa maendeleo zaidi
Na wala asitaki kujifanya hakuamini (na wewe natumaini ni mwaminifu- Utapeli ni noma sana, nadhani unajua)' akukatie kakitumbua kadogo. Kumbuka, wewe ndio una njia ya kumpatishia hela yeye sana na kuwiva kwake kote. sawa mkuu. Kwa hiyo yeye anashida zaidi yako. wewe ukikataa tafuta mungine. Hela ziko karibu yako la muhimu ni UAMINIFU, na utekelezaji wa mambo kufikia malengo yako. Website ya sentre haifanyi kazi. By the way Safari, soon ntakumwagia kitu unachofuta na Jua ulichokua unatafuta. thank you for your posting.