Hawa vijana wa SUMA JKT walikosea wapi?

Hawa vijana wa SUMA JKT walikosea wapi?

richaabra

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
1,472
Reaction score
3,511
Ni mda hawa vijana wa Suma JKT yaliskika malalamiko mara wanapiga watu kwenye malindo yaani ni watu wavurugu vurugu sometime kama wana sress za maisha, wengine sehem nyingi wamekuwa wakipoteza malindo kama mwendokasi, pale ferry siwaoni tena sijui shida yao ni nini.

Lakini tukirudi kwenye mada huwa najiuliza sana hawa walikwama wapi hadi kutopata ajira za moja kwa moja bakabaka, maana juzi hapo nilitembelea kimbiji nikakuta vijana wadogo wale kama sio wamemaliza fm 4 juzi juzi basi ni six wachanga kabisa wanafanya mazoezi ndani ya bakabaka washakula ajira ila suma naona wanapigwa na jua tu.
 
Ajira za jeshini jw huwa ni mjuano Sana ,watoto wa majenerali ,na masajenti waliostafu ndio wanapita huko Tena kwa simu tu kutoka juu ....

Hizi nyingine polisi ,magereza ,zima Moto ,uhamiaji ,tanapa ndio wengi wanapita kwa ujuzi wao ....japo connection ni mhimu ...


Hao walinzi wa Suma jkt ni watu walioenda jkt wakiwa na malengo ya kuajiriwa polisi ,magereza ,tpdf ,zima Moto n.k lakin walikaa zaidi ya miaka 2 mkataba ukaisha wakafukuzwa kambin na kurudi nyumbani ,,,,kwa vile wanachet Cha jkt ndio wanaomba kuwa walinzi Suma jkt,maana sifa wanakuwa nazo ....ndio maana muda mwingi wako na hasira ,gubu ,ukijichanganya tu wanakuwashia Moto ,maana wako pale kwa bahati mbaya sio lengo lao kabisa [emoji3],,,hata mishahara ni mdogo Sanaa ,stress ni nyingi ,,,maaana wanazidiwa hata na wafanya usafi wa UN ....

Wasameheni bure wale vijana wamepitia mengi Sana ,na kuishi tofauti na matarajio mbaya zaidi hakuna namna nyingi ,wengi utakuta wanavuta Sana sigara ,bangi ,kunywa pombe ,...
 
Back
Top Bottom