Jamaa alikuwa ni mtu hatari sana " naukubali uwezo wake .. ila kwa upande wangu mimi messi ndiye mtu Anaye ni duwaza katika maisha yangu ya burudani ya mpira wa miguuKwangu mimi sijawahi kumwona mshindani wa Ronaldinho Gaucho. Hata malaika mbinguni wameburudishwa sana na soka lake.
Hilo jarida litakuwa ni branch ya twawezaWasitake kutudanganya hao mbuzi, kila mtu ana macho anaona.
Neyma hata sioni kama anamfikia Kaka'. Hilo jarida litakuwa ni Tanzanite version ya Brazil.
Mhariri wa Gazeti hilo ni ndugu wa Musiba @ USSR.Wasitake kutudanganya hao mbuzi, kila mtu ana macho anaona.
Neyma hata sioni kama anamfikia Kaka'. Hilo jarida litakuwa ni Tanzanite version ya Brazil.
Uhuru wa vyombo vya habari mkuu cha msingi hawamtukani mtu kama unakumbukumbu nzuri kuna mchezaji wa kibongo ameshawahi kufananishwa na king MessiYaani wameni shangaza. Hawa jamaa sijui wamerogwa " Au wana dhani kwamba wadau wa soccer hatujielewi..!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wewe tu Ronaldinho mwenyewe amewahi kukiri kuwa hawezi kumfikia Messi kiuwezo wa Mpira uwanjaniJamaa alikuwa ni mtu hatari sana " naukubali uwezo wake .. ila kwa upande wangu mimi messi ndiye mtu Anaye ni duwaza katika maisha yangu ya burudani ya mpira wa miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah nafahamu hilo mkuu ... lakini ant messi hawawezi kukubali hiliSio wewe tu Ronaldinho mwenyewe amewahi kukiri kuwa hawezi kumfikia Messi kiuwezo wa Mpira uwanjani
Mkuu hawa jamaa sijui wamekula nini !? Hata kama ndio uhuru wa vyombo vya habari lakini uhuru huu unawafanya waonekane mataahira sasa " maana wanautumia huo uhuru vibayaUhuru wa vyombo vya habari mkuu cha msingi hawamtukani mtu kama unakumbukumbu nzuri kuna mchezaji wa kibongo ameshawahi kufananishwa na king Messi
Neymar ni top class player lakini hastahili kuwa mchezaji bora wa muda wote wa Brazil si kwa Takwimu wala udambwi udambwi
Mkuu hii takwimu yao hata TWAWEZA hawawezi kuthubutu kuichapisha aise ... hata shigongo na magazeti yake ya udaku hawezi thubutu kufikia kiwango hicho cha ujingaWamechemka,ata kwa uwezo wa enzi za Jorginho,Cafu bado Neymar atasubir sana ..kuna kifaa kilikuwa Deportivo la Coluna Mauro Silva Galvao bado Neymar atasubir sana..
Hahaa acha kuifananisha twaweza na vitu vya kijinga mkuu ... hao wamevuka level ya upumbavu
Jamaa wame nistaajabisha sana mkuu ...Wasitake kutudanganya hao mbuzi, kila mtu ana macho anaona.
Neyma hata sioni kama anamfikia Kaka'. Hilo jarida litakuwa ni Tanzanite version ya Brazil.