Hawa wabunge sio wazalendo. Dodoma hili jambo lingepitishwa haraka

Hawa wabunge sio wazalendo. Dodoma hili jambo lingepitishwa haraka

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
Yaani hii ndio ingekuwa ni Tanzania pale Dodoma saa hii viti vilikuwa vinaumia kwa makofi maana ni swala ambalo wangesema tumechelewa sana 😅 Tanzania

Ila Tanzania muda mwingine unawaza kwanini haya mavituko yanafanyika kwenye mamlaka zetu nyeti kiasi kwamba hawaoni aibu hata chembe 😂

20231103_104040.jpg
 
Watawala wakishaona wananchi manyani unadhani nn kinaendelea
 
Yaani hii ndio ingekuwa ni Tanzania pale Dodoma saa hii viti vilikuwa vinaumia kwa makofi maana ni swala ambalo wangesema tumechelewa sana 😅 Tanzania

Ila Tanzania muda mwingine unawaza kwanini haya mavituko yanafanyika kwenye mamlaka zetu nyeti kiasi kwamba hawaoni aibu hata chembe
Visiwa vya ukerewe ziba kome maisome havijawahi tembelewa na rais kwa kukosa usafiri, hii boat ingefaa sana,
 
Back
Top Bottom