Hawa wabunge sio wazalendo. Dodoma hili jambo lingepitishwa haraka

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
Yaani hii ndio ingekuwa ni Tanzania pale Dodoma saa hii viti vilikuwa vinaumia kwa makofi maana ni swala ambalo wangesema tumechelewa sana πŸ˜… Tanzania

Ila Tanzania muda mwingine unawaza kwanini haya mavituko yanafanyika kwenye mamlaka zetu nyeti kiasi kwamba hawaoni aibu hata chembe πŸ˜‚

 
Watawala wakishaona wananchi manyani unadhani nn kinaendelea
 
Visiwa vya ukerewe ziba kome maisome havijawahi tembelewa na rais kwa kukosa usafiri, hii boat ingefaa sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…