Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Sikumbuki ile siku ilikuwa siku gani kati ya Jumamosi na Jumapili. Nipo na family mwaka jana mwishoni. Tumeenda fanya shopping vitu vya siku kuu.
Tukiwa ndani ukafika muda wa kufunga duka kama sikosei ilikuwa saa 12 jioni. Wahudumu walianza ku harass wateja kuwa either wafanye haraka kununua vitu au wakatishe maana muda umeisha. Hapo tupo ndani. Hili lilinisikitisha sana.
Kule juu tuliambiwa kabisa tushuke na waliokuwa chini wakawa wanazuiliwa kupanda juu kwenda kununua vitu acha kufanua window shopping. Wale macho kuvimba wapo tu wanaangalia wateja wanakuwa harrassed wala hawashtuki. Mteja anafokewa kuwa inatosha sasa aondoke duka linafungwa.
Kama wangefunga gate watu wasiingie inaeleweka na ni sawa .lakini kuwabalasa wateja walioko ndani watoke ilikuwa very unbecoming. Ilileta picha mbaya sana. Hakukuwa na customer care tena.
Nikakumbuka mwaka flani nikiwa game nlikutwa na jambo kama hilo nikiwa ndani. Muda wa kufunga umefika. Kaburu alinifuata nikiwa na watoto nawaharakisha tutoke. Akaniambia No. Sir just relax let them enjoy we are here for you. Mswahili mmoja alinikata jicho. Yule Mzungu alikuja akawa anazunguka nasi anamsukuma mtoto wangu kwenye toroli.
Nikakumbuka siku moja nimenunua kitu flani chakula watoto kumbe bei imechanganywa. Kale kamfuko ka kilo 1 tu it was tsh 19,000. Nikachukua vinne nikidhani ni tsh 1,900. Nikiwa nalipia pale nakuta jumla imekuja ya kutisha maana mimi huwa nakodolea macho nikisia tii naangalia. Nikamwambia mhusika hii bei hapana. Mifuko minne tsh 76,000 haukamu? Ndo akasema kimoja ni tsh 19,000.
Nikasema no wei ondoa hiyo kitu. Si unajua yale maeneo inabidi ujue maneno mawili matatu ya kizungu. Akasema anamwita boss wake aje afanye kitu.
Akaja kaburu.akaelezwa. akasema haina shida ngoja kwanza akaangalie. Kwenda kule akarudi akasema ni kweli waliobandika price wamekosea. So nipewe kwa bei hiyo ya Tsh 1,900. ila bei zake ni tsh 19,000. Nikakataa kuwa aiondoe tu. Akasema no.nipewa mimi nipo sahihi wao wamekosea si kosa langu. Aiseee....sikuweza sahau ule ukarimu wa kibiashara wa wale makaburu.
Tukiwa ndani ukafika muda wa kufunga duka kama sikosei ilikuwa saa 12 jioni. Wahudumu walianza ku harass wateja kuwa either wafanye haraka kununua vitu au wakatishe maana muda umeisha. Hapo tupo ndani. Hili lilinisikitisha sana.
Kule juu tuliambiwa kabisa tushuke na waliokuwa chini wakawa wanazuiliwa kupanda juu kwenda kununua vitu acha kufanua window shopping. Wale macho kuvimba wapo tu wanaangalia wateja wanakuwa harrassed wala hawashtuki. Mteja anafokewa kuwa inatosha sasa aondoke duka linafungwa.
Kama wangefunga gate watu wasiingie inaeleweka na ni sawa .lakini kuwabalasa wateja walioko ndani watoke ilikuwa very unbecoming. Ilileta picha mbaya sana. Hakukuwa na customer care tena.
Nikakumbuka mwaka flani nikiwa game nlikutwa na jambo kama hilo nikiwa ndani. Muda wa kufunga umefika. Kaburu alinifuata nikiwa na watoto nawaharakisha tutoke. Akaniambia No. Sir just relax let them enjoy we are here for you. Mswahili mmoja alinikata jicho. Yule Mzungu alikuja akawa anazunguka nasi anamsukuma mtoto wangu kwenye toroli.
Nikakumbuka siku moja nimenunua kitu flani chakula watoto kumbe bei imechanganywa. Kale kamfuko ka kilo 1 tu it was tsh 19,000. Nikachukua vinne nikidhani ni tsh 1,900. Nikiwa nalipia pale nakuta jumla imekuja ya kutisha maana mimi huwa nakodolea macho nikisia tii naangalia. Nikamwambia mhusika hii bei hapana. Mifuko minne tsh 76,000 haukamu? Ndo akasema kimoja ni tsh 19,000.
Nikasema no wei ondoa hiyo kitu. Si unajua yale maeneo inabidi ujue maneno mawili matatu ya kizungu. Akasema anamwita boss wake aje afanye kitu.
Akaja kaburu.akaelezwa. akasema haina shida ngoja kwanza akaangalie. Kwenda kule akarudi akasema ni kweli waliobandika price wamekosea. So nipewe kwa bei hiyo ya Tsh 1,900. ila bei zake ni tsh 19,000. Nikakataa kuwa aiondoe tu. Akasema no.nipewa mimi nipo sahihi wao wamekosea si kosa langu. Aiseee....sikuweza sahau ule ukarimu wa kibiashara wa wale makaburu.