Hawa wadudu sijawaona Dar

Hawa wadudu sijawaona Dar

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Pamoja na kuonekana wana thamani, sijajua biashara yake ikoje. Au ndio wanakula wenye hela? Binafsi labda uniletee nyama yake bila kujua ndio hili dude
IMG_20240807_072353.jpg
 
Ukiwa Dar Maeneo Ya Ikulu Maji Yanapoondoka Mpaka Huko Jirani Na Agha Khan
Yanaonekana Ila Ni Ya Hovyo Huwezi Hata Kuyashika
 
Zamani walikuwepo kwa sasa dar hakuna,wapo wale jongoo wadogodogo tu
Jongoo wenye pesa ni barango,spinyo, jongoo maji
Ila hao jongoo wa mln 20 mhh
Nimeongelea hii kutokana na uzoefu wa wa kuwavua huko mafia kipindi cha nyuma na upatikanaji wake ule mgumu

Ova
 
Na kwa tz walikuwa hawaruhusiwi kuvuliwa no vibali,tulikuwa tunafanya kiujanjanjanja tu
Ila jongoo wa mln 20 kwa kg sijawahi ona

Ova
 
Hawa ni wazuri kwa kurudisha na kuboresha nyumba inayotetereka, kama unavyoona unene na ukubwa ndivyo Juma atakavyo rutubishwa.
 
Zamani walikuwepo kwa sasa dar hakuna,wapo wale jongoo wadogodogo tu
Jongoo wenye pesa ni barango,spinyo, jongoo maji
Ila hao jongoo wa mln 20 mhh
Nimeongelea hii kutokana na uzoefu wa wa kuwavua huko mafia kipindi cha nyuma na upatikanaji wake ule mgumu

Ova
Kilwa bado wapo wa kumwaga hata bagamoyo kuanzia usawa wa minazini hadi sadani,uwa wanawazamia kuwakakamata kwenye mapango yao
 
Back
Top Bottom