Pre GE2025 Hawa wafuasi wakereketwa walioenda kwa FAM leo, ile Siku aliyoitisha maamdamano walikua wapi?

Pre GE2025 Hawa wafuasi wakereketwa walioenda kwa FAM leo, ile Siku aliyoitisha maamdamano walikua wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Najiuliza hawa wafuasi wakereketwa wa Mh Mbowe, mwenyekiti wa kudumu CHADEMA Taifa,

Hawa watu waliojitokeza kwa wingi na bodaboda si chini ya 50 ile aiku mbowe anaitisha maamdamano mbona walimtelekeza pekeyake?

Nakumbuka hiyo siku alikuepo mbowe na binti yake tu,
 
Najiuliza hawa wafuasi wakereketwa wa Mh Mbowe, mwenyekiti wa kudumu CHADEMA Taifa,

Hawa watu waliojitokeza kwa wingi na bodaboda si chini ya 50 ile aiku mbowe anaitisha maamdamano mbona walimtelekeza pekeyake?

Nakumbuka hiyo siku alikuepo mbowe na binti yake tu,
Hao ni wakereketwa wa Boni mandevu
 
Najiuliza hawa wafuasi wakereketwa wa Mh Mbowe, mwenyekiti wa kudumu CHADEMA Taifa,

Hawa watu waliojitokeza kwa wingi na bodaboda si chini ya 50 ile aiku mbowe anaitisha maamdamano mbona walimtelekeza pekeyake?

Nakumbuka hiyo siku alikuepo mbowe na binti yake tu,
Risasi baba , risasi nani azivumilei? wala usiwalaumu....wewe ulikwenda?
 
Kuna watu wanahofu Lissu akishika kiti watakatiwa mirija
Mbowe anahofu kabisa na team yake, ona
Screenshot_20241218_155918_Instagram.jpg
Shujaa Lissu
Screenshot_20241218_155922_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom