Hawa Wakenya ni kuendelea kuwafinya tu

Hawa Wakenya ni kuendelea kuwafinya tu

Magonjwa Mtambuka

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
32,246
Reaction score
31,176
Marufuku kwa Kenya Airways bado ipo pale pale. Akili zitawakaa sawa tu na kile kizungu chao cha ugoko.

=======

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania #TCAA Hamza Johari, amesema bado kuna katazo la safari za shirika la ndege la Kenya kuingia nchini baada ya nchi hiyo kutoiorodhesha Tanzania kwenye nchi zinazoruhusiwa kuingia nchini humo baada ya makali ya janga la corona kupungua.

 
Juzi nilishangaa nilipoona kwenye ratiba yao kuna ndege za KQ kuelekea Tanzania. Kumbe ni uongo uongo waliouzoea kwa wageni. Sasa ni wakati wa kuweka vitu wazi.
 
Tungeongeza na magari yao yasiingie kabisa. Hii mikweche yao yenye mi namba KBA iishie mpakani
 
Juzi nilishangaa nilipoona kwenye ratiba yao kuna ndege za KQ kuelekea Tanzania. Kumbe ni uongo uongo waliouzoea kwa wageni. Sasa ni wakati wa kuweka vitu wazi.
Wanaficha kwasababu wanaathirika pakubwa wazungu wakijua ukifika Kenya TZ ukanyagi watakosa watalii ndio maana wanatangaza mgogoro umeisha na wanaweka ratiba hewa
 
Wanaficha kwasababu wanaathirika pakubwa wazungu wakijua ukifika Kenya TZ ukanyagi watakosa watalii ndio maana wanatangaza mgogoro umeisha na wanaweka ratiba hewa

Siku zote kiburi hutangulia anguko. Wangekuwa wanatumia hekima, ilikuwa ni jambo rahisi sana kupata suluhu. Kwa vile wamechagua kufanya vichwa vyao vigumu, acha chuma avigonge vipate akili.
 
Back
Top Bottom