Hawa wakiolewa niiteni Lodilofa nimekaa pale

Wengi wao ni wa kuwatumia na 🚮

Ila kuna viwanja vya ushuani ukiwauta hao baadhi yao ni wake za watu. Ni wale familia bora waliosoma Ulaya na Marekani

Ukitembelea maeneo kama Slipway, Hyatt Regency Level 8 n.k unakuta mamanzi kama hao picha za juu wako na waume zao wa ndoa
 
Watoto wakishua hawagudumii mapombe ya kwenye vikopo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…