Hawa wakopeshaji wa mitandaoni wamesajiliwa na serikali au ni matapeli wanaofanya kazi kwa kificho?

Hawa wakopeshaji wa mitandaoni wamesajiliwa na serikali au ni matapeli wanaofanya kazi kwa kificho?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Haiingii akilini kuwa serikali impe mtu kibali cha kukopesha wananchi wake ambapo malipo yanapaswa kufanyika ndani ya siku 5, 6 au 7 tu yakiwa na riba ya 35%.

Kama serikali imekubali kazi za kampuni hizi na kubariki kisa kodi basi Watanzania hatuna serikali.

Au vibali vyao viko safi tu mbele ya serikali ila kwenye field wamepindua sheria na kufanya wanavyotaka wao kwakuwa serikali ikikamilisha usajili haizifuatilii tena hizi kampuni.
 
Kama wamepewa kibali kufanya hivyo bc Mm naunga mkono serikali
 
Haiingii akilini kuwa serikali impe mtu kibali cha kukopesha wananchi wake ambapo malipo yanapaswa kufanyika ndani ya siku 5, 6 au 7 tu yakiwa na riba ya 35%.
Kama serikali imekubali kazi za kampuni hizi na kubariki kisa kodi basi Watanzania hatuna serikali.
Au vibali vyao viko safi tu mbele ya serikali ila kwenye field wamepindua sheria na kufanya wanavyotaka wao kwakuwa serikali ikikamilisha usajili haizifuatilii tena hizi kampuni.
Utaratibu wa kukopesha kaka unajulikana kuwa riba mwisho ni 18%.
Kama nimekosea nisahihishwe.
Hao wanaoweka riba kuanzia 20% kwenda juu ni wakiukaji wa sheria za ukopeshaji na matapeli.
Wiki iliyopita nasikia mkopo Fasta walivamiwa na polisi ofisini kwao.
Na nimesikia tetesi kuwa huo ni mradi wa ukopeshaji wa MChina.
 
Kwanini mtu hukope huko? Mbona sehemu za kukopa nyingi sana omba ata co-worker akukopeshe mwisho wa mwezi mlipe Tena bila riba
 
Haiingii akilini kuwa serikali impe mtu kibali cha kukopesha wananchi wake ambapo malipo yanapaswa kufanyika ndani ya siku 5, 6 au 7 tu yakiwa na riba ya 35%.
Kama serikali imekubali kazi za kampuni hizi na kubariki kisa kodi basi Watanzania hatuna serikali.
Au vibali vyao viko safi tu mbele ya serikali ila kwenye field wamepindua sheria na kufanya wanavyotaka wao kwakuwa serikali ikikamilisha usajili haizifuatilii tena hizi kampuni.
 
Haiingii akilini kuwa serikali impe mtu kibali cha kukopesha wananchi wake ambapo malipo yanapaswa kufanyika ndani ya siku 5, 6 au 7 tu yakiwa na riba ya 35%.
Kama serikali imekubali kazi za kampuni hizi na kubariki kisa kodi basi Watanzania hatuna serikali.
Au vibali vyao viko safi tu mbele ya serikali ila kwenye field wamepindua sheria na kufanya wanavyotaka wao kwakuwa serikali ikikamilisha usajili haizifuatilii tena hizi kampuni.
Ujinga ndiyo unaangamiza watanzania. Badala ya kupigana kuondoa chanzo cha umaskini wao uliotopea i.e. uongozi mbovu wa nchi, wao wako tayari kujiingiza kwenye matatizo zaidi kwa kukopa mikopo inayowaumiza.
 
Hawa jamaa wameandamwa Sana inabidi wajilekebishe kwa kweli
Hili ndilo tatizo letu kubwa watanzania. Sisi wananchi hatutaki kuchukuwa hatua bali tunasubiri matapeli, mafisadi na kila aina ya viongozi waovu ''wajilekebishe'' wenyewe. Katu hii haitatokea!
 
Utaratibu wa kukopesha kaka unajulikana kuwa riba mwisho ni 18%.
Kama nimekosea nisahihishwe.
Hao wanaoweka riba kuanzia 20% kwenda juu ni wakiukaji wa sheria za ukopeshaji na matapeli.
Wiki iliyopita nasikia mkopo Fasta walivamiwa na polisi ofisini kwao.
Na nimesikia tetesi kuwa huo ni mradi wa ukopeshaji wa MChina.
Wachina wanyonyaji sana.
Mitaani wameweka madubwi, billions of money wanaziiba indirect na sasa wamekuja kwenye mikopo
 
Wachina wanyonyaji sana.
Mitaani wameweka madubwi, billions of money wanaziiba indirect na sasa wamekuja kwenye mikopo
Maficho yao moja wapo yalivamiwa na askari polisi na tetesi zinasema wachina wenyewe wamekimbia wamebaki waafrika wenyewe wakidaiana.
Mie ninadaiwa na Hakika Loan,wiki mbili zilizopita walianza vitisho kisa nimewaambia niko porini nipeni muda hadi asubuhi na walipa.
Aiseee waliharibu nili flash simu kila kitu chao cha kunidhibiti kikafutika.
Wapo na kakadi tu cha NIDA sijui watafanyia nini.
 
Maficho yao moja wapo yalivamiwa na askari polisi na tetesi zinasema wachina wenyewe wamekimbia wamebaki waafrika wenyewe wakidaiana.
Mie ninadaiwa na Hakika Loan,wiki mbili zilizopita walianza vitisho kisa nimewaambia niko porini nipeni muda hadi asubuhi na walipa.
Aiseee waliharibu nili flash simu kila kitu chao cha kunidhibiti kikafutika.
Wapo na kakadi tu cha NIDA sijui watafanyia nini.
Uliwapa kadi original ya NIDA?
Ukiflash unafuta taarifa na hawakupati?
 
Nitajieni apps 30 za mikopo ya ONLINE nataka nikope Jumla Tsh laki tano nianze biashara ya Genge
Unapochelewesha au kutokulipa deni, je upo tayari kudhalilishwa mitandaoni kama ni ndio

Nakutumia hizo app
 
Uliwapa kadi original ya NIDA?
Ukiflash unafuta taarifa na hawakupati?
Yani wale ukiipakua app yao ukishasoma terms na conditions wanakwambia allow app to access your contacts,files and locations.
Sasa inamaana umewapa permission ya wao kuwa na access ya kuona contacts zako na kupekua mafaili yako ya picha na video.
Pia wanakua na access na Gmail yako ama Google account yako.
Kadi ya NIDA ndio niliwarushia picha original,ila kadi kama kadi haisaidii kitu kumtangaza mtu tapeli au vipi,sio vivid evidence ya kumuaminisha mtu.
Ukii flash simu inamaana ume flash mpaka Google account na kila kitu Yani 95% ya taarifa zako zinafutika kwao inabaki namba yako na wadhamini tu wawili na kadi uliowatumia picha.
Na mimi namba za wadhamini nimeandika namba hazipatikani.
Aya wanakupataje hapo kaka!!??

Wataishia kukupigia simu wewe kama wewe tu,ila hawataweza kukufanya lolote maana ushafuta access yao kwako.
 
H
Yani wale ukiipakua app yao ukishasoma terms na conditions wanakwambia allow app to access your contacts,files and locations.
Sasa inamaana umewapa permission ya wao kuwa na access ya kuona contacts zako na kupekua mafaili yako ya picha na video.
Pia wanakua na access na Gmail yako ama Google account yako.
Kadi ya NIDA ndio niliwarushia picha original,ila kadi kama kadi haisaidii kitu kumtangaza mtu tapeli au vipi,sio vivid evidence ya kumuaminisha mtu.
Ukii flash simu inamaana ume flash mpaka Google account na kila kitu Yani 95% ya taarifa zako zinafutika kwao inabaki namba yako na wadhamini tu wawili na kadi uliowatumia picha.
Na mimi namba za wadhamini nimeandika namba hazipatikani.
Aya wanakupataje hapo kaka!!??

Wataishia kukupigia simu wewe kama wewe tu,ila hawataweza kukufanya lolote maana ushafuta access yao kwako.
Hayo makampuni yapo kimagumashi

Kwa hyo hawawezi kukupeleka polisi Wala mahakamani wenyewe wanatafutwa
 
H

Hayo makampuni yapo kimagumashi

Kwa hyo hawawezi kukupeleka polisi Wala mahakamani wenyewe wanatafutwa
Uliwahi kuona mdaiwa anafungwa kaka!?
Hata kukopa benki ukashindwa kulipa zitatafutwa namna ila sio wewe kufungwa,hakuna kesi ya madai mtu anafungwa kaka.
Ila wao hawawezi kukupeleka popote kwasababu kama tatu;
1)Riba ni kinyume na sheria ya ukopeshaji,riba mwisho 18% wao wamevuka kikomo.
2)Taratibu za utoaji mikopo na urejeshaji sio nzuri na ni za kinyume na sheria.
3)Namna yao ya kudai sio nzuri na ya ukiukaji wa sheria ya makosa ya jinai,kumtishia mtu kaka ni kosa la jinai,akiamua kushtaki unakamatwa.
4)Huwa wanawahi kudhalilisha watu na kuwatukana kabla hata ya muda,hapo tayari wameshavunja makubaliano ya mkataba wa kukopeshana na washafanya kosa la jinai ambalo wewe unaweza kuwashitaki.

Kwa namna hizi kaka wanakupeleka wapi ukashtakiwe!?
 
Utaratibu wa kukopesha kaka unajulikana kuwa riba mwisho ni 18%.
Kama nimekosea nisahihishwe.
Hao wanaoweka riba kuanzia 20% kwenda juu ni wakiukaji wa sheria za ukopeshaji na matapeli.
Wiki iliyopita nasikia mkopo Fasta walivamiwa na polisi ofisini kwao.
Na nimesikia tetesi kuwa huo ni mradi wa ukopeshaji wa MChina.
Mbona hatuoni wakipelekwa mahakamani>Hizi zitakuwa biashara za vigogo wa hii nchi.
 
Back
Top Bottom