johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hadi sasa tunao Joshua Nassari, Ambrose Lijualikali na Dr Mashinji
Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama
Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka
Mtanishukuru baadaye 🐼
Sisemi kwa uhakika ila ni kama wanahujumu Serikali na Chama
Unapomfukuza shule mtoto kisa baba yake ni mpinzani Wewe lazima uwe Laanatula uliyetukuka
Mtanishukuru baadaye 🐼