Hawa wana tofauti gani?

CORONAZ

Senior Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
181
Reaction score
341
Nawaza tu kwa sauti, hivi wanaume wanaoringia six pack zao kwa kuvaa nguo zinazobana ili waonekane wana tofauti gani na wanawake wanaoringia sura (uso) na makalio makubwa (msambwanda)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…