Hawa wanahitaji msaada jameni

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.

SEKRETARI (anamuaga mumewe):
Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.

MUME (anampigia mchepuko):
Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week

(Mchepuko) anamwambia mwanafunzi wake wa tution:
wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.

MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS):
Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako.....

BOSS anamwambia sekretari wake:
Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.

SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena

MUME (anampigia Mchepuko):
dah! mpenzi, huyu fala haendi tena. Shit! So hadi next time plz

Mchepuko a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi):
Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.

MWANAFUNZI: darling tution
inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!

BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya serena iko palepale......


HOW to HELP THESE PEOPLE?
 
Ni kuwanyang'anya silaha kwa wale walionazo. Maana kuna sehemu wata collide
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…