Hawa wanaJF wafungue tu band yao

Hawa wanaJF wafungue tu band yao

Deadbody

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
4,274
Reaction score
6,595
Wale wote wageni wa JUKWAA letu hili penda la CHITCHAT nawakaribisha sana jukwaa hili.Humu ni sehemu salama kabisa ya kuchati chochote unachojisikia ila usivunje sheria za JamiiForums.com.

Hahahahaha karibuni sana kwenye band yetu JamiiForums

band.png


Wakuu naomba katika uzi huu tuchangie kistarabu usije ukafutwa tena.Usitukane wala nini just cool down

Kwa sababu zinazojulikana za tabia za hawa watu naomba wakifungua band wakawa pamoja band yao itapata umaarufu zaidi na itakuwa ni band yenye mafanikio mno

Hawa ni baadhi ya members kwenye hiyo band(Hawa kwa namna moja au nyingine wanafanana vitu vingi sana hapa JF)

1.Money Penny(Master wa band)
2.Deogratias Kisandu
3.Beira Boy
4.HR666
5.LEMUTUZI
6.Sexless
7.Padri Mcharo
8.Gudume
9.kikoozi
10.alonso14
11.


Hii band bado haijakamilika hivyo jazia watu wenye sifa za kujumuishwa kwenye hii band.

Karibuni kujazia Band members!

Deadbody,
JamiiForums.
 
Back
Top Bottom