Itakuwa Vizluri km unaona nao physically yaani mdomo Kwa mdomoNilikuwa naomba kuuliza, kuna hawa wanajiita UKG walikuja kwenye inbox yangu kuna kitu wanahitaji kunishirikisha ni kitu kizuri, lakini ninachotaka kujithibitishia wasije wakawa matapeli.
Msaada wenu wakuu.
View attachment 3019526