Mr pinkmoja Member Joined Sep 17, 2019 Posts 10 Reaction score 14 Jun 12, 2021 #1 Mtu anakuja kwako umejenga L na choo anakulazimisha nyumba 3 akiziandika wewe unalipa Kodi ya nyumba tatu huu sio Utanzania hata ya miti mmmm! Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Mtu anakuja kwako umejenga L na choo anakulazimisha nyumba 3 akiziandika wewe unalipa Kodi ya nyumba tatu huu sio Utanzania hata ya miti mmmm! Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Muuza simu used JF-Expert Member Joined Aug 23, 2017 Posts 4,393 Reaction score 7,074 Jun 13, 2021 #2 Uandishi mbovu mno wana haki ya kukuandikia nyumba tatu maana hata kujieleza hujui
Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Jun 13, 2021 #3 Muuza simu used said: Uandishi mbovu mno wana haki ya kukuandikia nyumba tatu maana hata kujieleza hujui Click to expand... L inakuwaje nyumba 3? Au L iliyondikwa na mtoto?
Muuza simu used said: Uandishi mbovu mno wana haki ya kukuandikia nyumba tatu maana hata kujieleza hujui Click to expand... L inakuwaje nyumba 3? Au L iliyondikwa na mtoto?
COMOTANG JF-Expert Member Joined Jan 6, 2021 Posts 2,131 Reaction score 1,821 Jun 15, 2021 #4 Bila bila said: L inakuwaje nyumba 3? Au L iliyondikwa na mtoto? Click to expand... Mkuu hapo Kuna nyumba 3. 1.Hiyo L 2.Kibanda cha upande wa kulia chenye vyumba vi 2 sijui Kama ni choo au nini lakini kinaonesha ni kijumba 3. Huo msingi wa nyumba ni nyumba ya ya tatu.
Bila bila said: L inakuwaje nyumba 3? Au L iliyondikwa na mtoto? Click to expand... Mkuu hapo Kuna nyumba 3. 1.Hiyo L 2.Kibanda cha upande wa kulia chenye vyumba vi 2 sijui Kama ni choo au nini lakini kinaonesha ni kijumba 3. Huo msingi wa nyumba ni nyumba ya ya tatu.
stevhinoz JF-Expert Member Joined Jun 15, 2021 Posts 228 Reaction score 509 Jun 15, 2021 #5 Shida ni umaskini unaona kila eneo ni la kuweka jengo.