Hawa wanaume wana wivu wa kupindukia kwa wapenzi/wake zao

Hawa wanaume wana wivu wa kupindukia kwa wapenzi/wake zao

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,448
Reaction score
7,972
Nimegundua kuwa wanaume wenye sifa zifuatazo huwa na wivu wa kishenzi kwa wake/wapenzi zao

(1), Wenye vibamia au ambao wanahisi kutowaridhisha wapenzi zao wawapo sita kwa sita

(2) Ambao hawatoi hela ya matumizi kwa wapenzi zao,eitha awe ana hela au hana ila ana huluka ya kotomjali mpenzi wake,yeye anachotoka kwako ni kwichi-kwichi,huyo anakuchunga sana mpaka hupumui

(3) wanaume wasio na kazi ya kimfanya ajishughulishe au kumuweka bize,atakuchunga mpaka toilet

(4) Wanaume wasio na nguvu za kiume wanawivu hatari,anahisi utadate na mwanaume mwingine na kumuacha

(5) Wanaume wafupi huwa wanawivu na ukorofi,wakihisi tunawadharau,ndo maana madada wengi hawataki kudate na wanaume wafup

(6) wenye ulemavu wa viungo,bora albino,hawa ambao wanamapungufu kwenye miili yao wanawivu sana

(7) mwenye wapenzi zaidi ya mmoja,na hawa wanawivu kwa wapenzi wake wote,yeye anafikiria anachokifanya basi na mpenzi au mke wake huwa anakifanya,halafu wanapenda ugomvi sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume watajinyongaaa mwaka huu tutabak wanawake sijui itakuwajeee
 
Hivi kuna mwanaume/mwanamke asiye na wivu duniani kiasi cha kumruhusu mwenza wake kuchepuka laivu?
 
Kama utakuwa na utashi ya kwamba hakuba mwanadamu ambaye amekamilika basi hayo hayawezi kukusumbua mwanaume wa kweli

Mwanamke haridhiswi na kitu kimoja tu, ukimridhisha kwa kugonga basi ujue swala la pesa kama huna ujie kabisa hapo uwezekano wakuchokonolewa na wengine upo, ukiwa na pesa anafu game hulimudu vyema ujue kabisa atachokonolewa na mwingine,

Yaani mambo ni utashi tu jamani
 
Nimegundua kuwa wanaume wenye sifa zifuatazo huwa na wivu wa kishenzi kwa wake/wapenzi zao

(1), Wenye vibamia au ambao wanahisi kutowaridhisha wapenzi zao wawapo sita kwa sita

(2) Ambao hawatoi hela ya matumizi kwa wapenzi zao,eitha awe ana hela au hana ila ana huluka ya kotomjali mpenzi wake,yeye anachotoka kwako ni kwichi-kwichi,huyo anakuchunga sana mpaka hupumui

(3) wanaume wasio na kazi ya kimfanya ajishughulishe au kumuweka bize,atakuchunga mpaka toilet

(4) Wanaume wasio na nguvu za kiume wanawivu hatari,anahisi utadate na mwanaume mwingine na kumuacha

(5) Wanaume wafupi huwa wanawivu na ukorofi,wakihisi tunawadharau,ndo maana madada wengi hawataki kudate na wanaume wafup

(6) wenye ulemavu wa viungo,bora albino,hawa ambao wanamapungufu kwenye miili yao wanawivu sana

(7) mwenye wapenzi zaidi ya mmoja,na hawa wanawivu kwa wapenzi wake wote,yeye anafikiria anachokifanya basi na mpenzi au mke wake huwa anakifanya,halafu wanapenda ugomvi sana
Huko vizuri yaan umepita na wanaume wote wenye tabia hizo
 
Nimegundua kuwa wanaume wenye sifa zifuatazo huwa na wivu wa kishenzi kwa wake/wapenzi zao

(1), Wenye vibamia au ambao wanahisi kutowaridhisha wapenzi zao wawapo sita kwa sita

(2) Ambao hawatoi hela ya matumizi kwa wapenzi zao,eitha awe ana hela au hana ila ana huluka ya kotomjali mpenzi wake,yeye anachotoka kwako ni kwichi-kwichi,huyo anakuchunga sana mpaka hupumui

(3) wanaume wasio na kazi ya kimfanya ajishughulishe au kumuweka bize,atakuchunga mpaka toilet

(4) Wanaume wasio na nguvu za kiume wanawivu hatari,anahisi utadate na mwanaume mwingine na kumuacha

(5) Wanaume wafupi huwa wanawivu na ukorofi,wakihisi tunawadharau,ndo maana madada wengi hawataki kudate na wanaume wafup

(6) wenye ulemavu wa viungo,bora albino,hawa ambao wanamapungufu kwenye miili yao wanawivu sana

(7) mwenye wapenzi zaidi ya mmoja,na hawa wanawivu kwa wapenzi wake wote,yeye anafikiria anachokifanya basi na mpenzi au mke wake huwa anakifanya,halafu wanapenda ugomvi sana
Kapime nije kukuposa...
maana list hiyo una uzoefu.
 
Wanawake wasiopenda wanaume wenye wivu tabia zao:
.Ni vicheche yaani umalaya kwao fasheni
.Wanapenda pesa kama ATM machine
.Kitandani no hovyo kabisaaaa
.Kupika hawajui wao ni make up tuuu
.n.k.
Hapo kwenye kupenda pesa . Kama kuna ukweli hiv
 
Wanawake wasiopenda wanaume wenye wivu tabia zao:
.Ni vicheche yaani umalaya kwao fasheni
.Wanapenda pesa kama ATM machine
.Kitandani no hovyo kabisaaaa
.Kupika hawajui wao ni make up tuuu
.n.k.
Hahahahahaa hahaaaa Mbona umewapatia
 
Hahahahaha yamekukuta mzee nn??
Hii kitu ilishawahi kunipata demu anawiv mbaya sana.. yule anaweza hata kuua kaa wivu. Yaan ikifikia kipindi akirusha picha fb nisipo comment.. akipiga simu ni matusi tu..
Nilimwambia mama basi.. kama wivu wa aina hiyo hapana aisee.. sitoweza.
 
Nimegundua kuwa wanaume wenye sifa zifuatazo huwa na wivu wa kishenzi kwa wake/wapenzi zao

(1), Wenye vibamia au ambao wanahisi kutowaridhisha wapenzi zao wawapo sita kwa sita

(2) Ambao hawatoi hela ya matumizi kwa wapenzi zao,eitha awe ana hela au hana ila ana huluka ya kotomjali mpenzi wake,yeye anachotoka kwako ni kwichi-kwichi,huyo anakuchunga sana mpaka hupumui

(3) wanaume wasio na kazi ya kimfanya ajishughulishe au kumuweka bize,atakuchunga mpaka toilet

(4) Wanaume wasio na nguvu za kiume wanawivu hatari,anahisi utadate na mwanaume mwingine na kumuacha

(5) Wanaume wafupi huwa wanawivu na ukorofi,wakihisi tunawadharau,ndo maana madada wengi hawataki kudate na wanaume wafup

(6) wenye ulemavu wa viungo,bora albino,hawa ambao wanamapungufu kwenye miili yao wanawivu sana

(7) mwenye wapenzi zaidi ya mmoja,na hawa wanawivu kwa wapenzi wake wote,yeye anafikiria anachokifanya basi na mpenzi au mke wake huwa anakifanya,halafu wanapenda ugomvi sana
Kama kuna kaukweli flani hvi 😪
 
Back
Top Bottom