Hawa wapendwa wetu kutoka Marekani wanarudi lini?

Hawa wapendwa wetu kutoka Marekani wanarudi lini?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakuu mtakumbuka mara baada ya marekani kutangaza kurudishwa nyumbani kwa raia wa nchi kadhaa, kumekuwa na mfululizo wa misafara ya wenzetu hawa kuelekea nchi zao.

Juzi kati niliona India wakiwapokea watu wao.

Hawa wa kwetu mbona hawarudi hadi leo hii au wameambiwa warudi kwa miguu?

Screenshot_20250213-153210_Instagram Lite.jpg


Screenshot_20250213-153221_Instagram Lite.jpg
 
Wakuu mtakumbuka mara baada ya marekani kutangaza kurudishwa nyumbani kwa raia wa nchi kadhaa, kumekuwa na mfululizo wa misafara ya wenzetu hawa kuelekea nchi zao.

Juzi kati niliona India wakiwapokea watu wao.

Hawa wa kwetu mbona hawarudi hadi leo hii au wameambiwa kurudi kwa miguu?
View attachment 3235480

View attachment 3235481
Waje nawenyewe wagaiwe mitungi ya samia! haiwezekani hii offer ndugu zetu waikose..🤣
 
Wakuu mtakumbuka mara baada ya marekani kutangaza kurudishwa nyumbani kwa raia wa nchi kadhaa, kumekuwa na mfululizo wa misafara ya wenzetu hawa kuelekea nchi zao.

Juzi kati niliona India wakiwapokea watu wao.

Hawa wa kwetu mbona hawarudi hadi leo hii au wameambiwa warudi kwa miguu?

View attachment 3235480

View attachment 3235481
Tanzania 300? Mbona wachache ,hao hata wakirudi huwezi notice .na hao walikuwa huko kinnyemela kwahio zaidi ya watanzania 10,000. Huko wanaishi kwa amani
 
Back
Top Bottom