Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Waje nawenyewe wagaiwe mitungi ya samia! haiwezekani hii offer ndugu zetu waikose..🤣Wakuu mtakumbuka mara baada ya marekani kutangaza kurudishwa nyumbani kwa raia wa nchi kadhaa, kumekuwa na mfululizo wa misafara ya wenzetu hawa kuelekea nchi zao.
Juzi kati niliona India wakiwapokea watu wao.
Hawa wa kwetu mbona hawarudi hadi leo hii au wameambiwa kurudi kwa miguu?
View attachment 3235480
View attachment 3235481
Tanzania 300? Mbona wachache ,hao hata wakirudi huwezi notice .na hao walikuwa huko kinnyemela kwahio zaidi ya watanzania 10,000. Huko wanaishi kwa amaniWakuu mtakumbuka mara baada ya marekani kutangaza kurudishwa nyumbani kwa raia wa nchi kadhaa, kumekuwa na mfululizo wa misafara ya wenzetu hawa kuelekea nchi zao.
Juzi kati niliona India wakiwapokea watu wao.
Hawa wa kwetu mbona hawarudi hadi leo hii au wameambiwa warudi kwa miguu?
View attachment 3235480
View attachment 3235481
nini hii mkuu?mitungi ya samia
kuna mitungi inagaiwa huko ya gesi imewekwa picha ya raisnini hii mkuu?
Kwa kutumia ile Jet mpya ya Mama yako?Labda Wamesharudishwa kimya kimya