Kwa wale waliokuwa watazamaji wa ATV(Abood Television)ya morogoro miaka ya tisini mwishoni na mwanzoni mwa miaka ya 2000, kulikuwa na wasanii waliokuwa wanafanya sanaa ya maigizo pamoja na mzee king majuto, na mzee small(marehemu), wasanii hao ni....
1. Nayaweza
2.Mtajaza
3.Mwanachia
4. Yusuf
5. Kisturi.
Nauliza hawa wasanii wapo wapi na wanafanya shughuli gani? kwakweli sanaa yao ilikuwa nzuri ila walisambaratika baada ya kuacha kazi kwenye kituo cha ATV.