Hawa watoto ndio maana wanafail aisee


akikupa namba ukamshindwa nirushie mie ndo mtaalamu bwana!
 
sijaona sababu ya wewe kumuita mkeo hapo kukwepa ibilisi, suppose imetokea nje ya mkoa ukiwa safarini......?
 
Sangarara na hadithi yako ndeeefu. kisa na mkasa wa kutoa namba yako ya simu kwa binti huyu wa mwanaume mwenzio ni nini kama hukuwa umenuia!! Mabadiliko ya vijana wetu huanza kwa wazazi kama ninyi. Ubarikiwe sana mzazi mwenzangu
 
kwa nilivyokusoma inaonekana unakamind hako kadent mzee,wat a coincedence,mnakutana bar,dukani!t seems ur interested na huyo mrembo whether ukimuona unamuangalia kupita maelezo,thts y mtoto kaona afunguke mwenyewe
 
pole sana.
Heri ukamsimulia mkeo issue nzima mapeeeeeeeema ataimaliza yeye.

Watoto wa siku hizi maadili hakuna, wazazi hawana muda na watoto, na jamii inaona mtoti wa mtu mwingine ni mkubwa mwenzie, tofauti na enzi zetu ambapo kila mmoja kwenye jamii ana wajibu wa kumwadabisha mtoto.
 

Kuna mwingine alikuwa anaishi na wazazi huku amejioza kwa mwanaume. Anatoroka kwao kwa kisingizio anaenda kusalimia ndugu kumbe anaishi na mume wa mtu (mkewe kaenda kijifungua mkoani). Sasa matokeo yametoka ana Div 4 ya 32. Sijui hali yake ikoje!
 
Kutana naye umwambie huhitaji hicho anachofikiria, na
umwambie wazi huhitaji mawasilino naye. Ukicheza na mbwa ....
Ni lazima akutane nae? Kumbuka jamaa ameshakolea na uzuri wa bint. Kwa nini asimkomeshe kwenye simu?
 
mkuu umeachia bahati hiyo...naomba unipm namba yake tafadhali
 
Nakushauri usimjibu msg na simu yake usipokee tena na block namba yake.
 
Wanajamii, Naomba niwape feedback.
Jana nimekutana na huyu Binti mida ya saa na moja nusu jioni, tumeachana nae around saa tano kamili, lakini kuanzia saa kumi jioni ndio nilipata picha wanawake huwa wanakuwa kwenye wakati mgumu namna gani wakati wanatongozwa, kilichonisaidia ni kwamba nilikuwa naifurahia sana hii experince ya huyu binti, mchaka mchaka alionepeleka nao ndani ya masaa kama nane kuanzia saa tisa mchana sijawahi kuupitia huko nyuma. Nitawaeleza kila kitu.

Naomba niende straight kwenye point, sababu members wengine nimeona wanalalamika nimeweka maelezo mengi sana, japo najua maamuzi yatawanyima information nyingi sana juu ya kilichojiri Jana.

Kwa kifupi ni kwamba.
1. Yule binti ana umri wa miaka 21, na juzi jumanne ndo amemaliza mitihani ya form six alikuwa anareseat.
2. Si kweli kwamba Yule binti alikuwa akinifahamu, sababu alinieleza Juzi ndio ilikuwa mara ya kwanza kuniona pale Bar Japo
alikuwa anamfahamu Mke wangu- Uzuri na Binti anamkubali wife kwa uzuri, urembo n.k kumbe wanawake
wanaogopana uzuri pia, nimejua Jana. Na hata nilipomueleza kwamba mimi nimekuwa nikimuona several times (chumvi) alikiri
kwamba hajawahi kuninotice even once, yaani hata siku tumekutana Dukani She did not notice my presense. Binti ananyodo kwa
kweli. Infact tulipokutana tu hapo hotelini hakupoteza muda alinirushia lawama nyingi sana kwa kutokuwa responsive kwenye
simu.
3. Baada ya kuwa nimemmaliza nguvu zote za mategemeo ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mimi Binti alifunguka kwamba,
Yule Jamaa yangu ndio alimueleza kwamba mimi ndio namtaka yeye, na kwamba niliishamueleza Jamaa siku nyingi sana juu ya hilo
ndio maana nilitaka kama ingewezekana juzi hiyo hiyo tutoke kwenda kuongea sehemu. Kwamba Jamaa alimueleza binti ,
niko tayari kumpa binti nyumba akae bure na wife wangu ntamueleza kwamba binti kapanga (pumbavu kweli jamaa).
4. Baada ya kumbana binti, alinieleza kwamba yule Jamaa amemuharibia maisha sababu amekuwa anamletea wanamme kwamba
wanamtaka kumbe yeye ndo anamuexpose kwao, then jamaa wakiisha tembea na binti wanasepa kwani baada ya kutembea nae
tu huwa anamgeuka na kuwaeleza yeye ni malaya wa kutupa.
5. Nikamuuliza binti, kwa nini amekubali kujihusisha na mapenzi wakati bado mwanafunzi, hili swali nilipomuuliza mwanzoni kabisa mwa
mzungumzo yetu alinijibu kwamba, kama mimi najua yeye ni mwanafunzi kwa nini nimemtongoza, kumbuka mwanzoni nilikua
najua binti ananitaka, baada ya muda swali hilo hilo akatoa majibu linalomaanisha kwamba amekuwa manipulated na Jamaa, na kwamba toka amefika Dar mwaka Jana wanaume aliotembea nao wote kaletewa na Jamaa. Nikamuuliza amefahamiana vipi na Jamaa, akasema Jamaa ni rafiki mkubwa sana wa dada yake lakini dada yake hafahamu lolote linaloendelea kati yao.
6. Nilipomuuliza kama yuko tayari Dada yake afahamu hili swala, binti akakataa, nilipomuuliza ni kwa nini kama anajua jamaa anamuharibia maisha kwa nini havunji mahusiano nae, akasema Jamaa anafahamu siri zake nyingi sana na huwa anamueleza kwamba akimkatalia Jambo lolote lile, anazimwaga siri zote, nikamuuliza kama jamaa ameishawahi kumtaka kimapenzi, akasema alimtaka kimapenzi mwanzoni kabisa akamtolea nje, lakini baada ya hapo hajarudia kumtaka tena badala yake anamletea midume,

Ilikuwa Simple sana
Tulipofika tu, tukaanza kupiga story za toka jana na nini, binti akaanza kumsifia wife, then akaanza kulalamika kwa nini nachelewa kupokea simu au nilikuwa na mwanamke mwingine, story nyingi sana huku anamsifia jamaa yangu alivyo msiri na yeye akijihapiza kwamba hawezi kufanya mambo ya kitoto yatakayopelekea wife ajue mahusiano yetu, Alinistahji kwa kuvaa kistaharabu lakini ile sehemu tuliyokaa tuliwaharia majirani mapozi kabisa, sababu binti ni mzuri sana na amejaa smiles na vicheko.

Lakini nachoshukuru upepo ulibadirika mapema tu, wakati ndo tuko kwenye bia ya tatu tatu, binti alinishukuru kwa pesa niliyomtumia, nilipoonyesha kushtuka kwamba nimemtumia pesa gani, akaniambia si umempa (akamtaja jamaa) shilingi laki moja mchana ukamuambia aninunulie na voucher ya elfu kumi na ndo ukamuuambia nikutafute kabla ya saa kumi tupange kuonana wapI? Hapo ndo nilijua kwamba Jamaa anahusika, nilipokataa na binti akashtuka vibaya sana, Kimsingi for the fisr time Jana na yeye
ndo aliweza kupata nguvu ya kujua nini kilikuwa kinaendelea kwenye maisha yake, alinieleza kila kitu kama nilivyoweka hapo juu.
na alilia sana yule binti jana. na asubuhi hii kaniambia amemueleza dada yake kila kitu, na dada yake amekesha analia, leo wanamtafuta Mshenzi mkubwa yule.
 
Em kuwa serious huyo binti hawezi kukuharibia nyumba yako.Muone huyu dada yake na umueleze tabia ya mdogo wake.Because unaweza kukmwita pempembeni akasema eti we ndo ulikuwa unamtaka.Na kama ukiwa unaongea naye hakikisha uko n rafiki yako unamuonya na sehemu ambayo ni ya wazi na mchana kweupe.ok brother
 

Jamaa kamdondokea denti ....hakuna cha kuogopa wala nini!

Anapima upepo wa wana JF!!

Mtu mzima na mke na watoto, utashindwaje kudeal na mtoto wa shule, tena kwa kumkaripia??

Babu DC!!
 
Kiongozi, Yaani mpaka sasa hofu niliyokuwa nayo juu yake kunichanganyia mambo yangu haipo hata kidogo, kwanza Binti ananiona mimi kama mkombozi wake.

Japo alikataa kumueleza dada yake, yeye mwenyewe ameishamueleza na leo wanamtafuta Jamaa. hawa wadada inavyoonekana leo patakuwa hapatoshi na Jamaa na hii issue ni lazima iwe kubwa mtaani, mimi mwenyewe nimeishavaa safety Jacket nimemueleza Wife full story Jana Usiku kwa hiyo hata yakimfikia haitokuwa news.

Na Binti anaonekana Kichwani ni safi ila haya mambo ndo yamekuwa yanamchanganya, anadai yeye alifail kwa bahati mbaya sana on her first form six seating ndo maana alikuwa na courage ya kureseat, form form aliscore division one ya pont kumi na tano.

Wanaume wote wa JF naomba tuwe mfano, tuwaache hawa watoto wasome shule Jamani tunawaharibia maisha yao.
 
Pole sana,mueleze mkeo kisa chote atakuelewa.Ila uache kujirahisi kama kugonga tano na vimalaya hivyo,yatakukukuta makubwa zaidi.
 
We jamaa ni muongo,form six ndo wameanza mitihan..how come useme wamemaliza mitihan
 
Mwambie mtoto mzuri unataka nini kama kamchezo subiri mpaka mama watoto apate ujauzito ehh ndo unaweza ukawa sub
 
kuwa mwanaume ni pamoja na kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi pale yanapotakiwa kufanyika... sipati picha kwa nini issue ndogo tu ya mtoto wa shule ikichukulie energy na muda wote huo ku-deal nayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…