Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Huyu bw. Mdogo anaitwa Spencer Lameck, na yule sijui Buhoela,
Wamepotelea wapi? Spencer nilitegemea awe hata huko bbc kwajinsi alivyokuaga mahili kwenye fani yake.
Tangu afe jiwe na wao wamepotea Kabisa kabisa
Wamepotelea wapi? Spencer nilitegemea awe hata huko bbc kwajinsi alivyokuaga mahili kwenye fani yake.
Tangu afe jiwe na wao wamepotea Kabisa kabisa