HAWA WATU WA GO BET WANA MATATIZO GANI KICHWANI

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Mpaka Wamekuwa kero hawa watu sms mnatuma mpaka 6 kwa saa moja na zote zikiwa na mlengo mmoja hiyi maana yake nini? Na namba zangu kawapa nani? Endapo mtaendelea na hiyi tabia nitaenda kustaki mahakamani kwa kunipotezea muda wa kusoma sms zenu zisizo na msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…