system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Kuhusu hilo sitaki kujisumbua....Una uhakika gani kuwa hawapo kwenye system?
Hahahahaha jau sana weweWasimsahau shishi bebi.
Duuuu kumbeeeeKuna wengine kati ya hao uliwataja ni TISS tayari.
Eneo la chakula[emoji16]Wasimsahau shishi bebi.
Uzalendo hadi uwe CCM?Tundu ni msaliti hawezi kuwa na sifa huyo. Maana kwake kuuza Siri ni jambi rahisi sana. Uaminifu na usiri Hana.
Pia ulitakiwa kuweka kigezo chauzalendo hapo; sema tu kitawa disqualify hao wote uliowataja.
Naona ulicoment kabla hukanyea chai. Hakikisha umepata lunch then urudi unioneshe niliposema uzalendo mpaka uwe CCmUzalendo hadi uwe CCM?