Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Wakikutana watagombana sana maana kila mmoja ana mitazamo inayotofautiana sana.
1. Hamfrey Polepole wa katiba mpya na Hamfrey Polepole wa Magufuli.
2. Peter Msigwa wa CCM na Peter Msigwa wa CHADEMA.
3. Wilbrod Slaa wa Rais Magufuli na Wilbrod Slaa wa Rais Samia
4. Juma Nkamia wa kipindi cha Rais magufuli na Juma nkamia wa kipindi cha Rais samia.
Na wengine unaweza kuwaoroshesha hapo chini.
1. Hamfrey Polepole wa katiba mpya na Hamfrey Polepole wa Magufuli.
2. Peter Msigwa wa CCM na Peter Msigwa wa CHADEMA.
3. Wilbrod Slaa wa Rais Magufuli na Wilbrod Slaa wa Rais Samia
4. Juma Nkamia wa kipindi cha Rais magufuli na Juma nkamia wa kipindi cha Rais samia.
Na wengine unaweza kuwaoroshesha hapo chini.